tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,195
- 27,807
whea to kiss???!!
machoni! unamnyonya hayo macho ya gololi.
whea to kiss???!!
Mhhhh... jaribu kuongea nao maneno ya kueleweka...
Uvumilivu umenishinda nalazimika kusema hili nimetafuta mchumba kupitia LOVECONNECT sijafanikiwa basi sikukata tamaa nika anza kuwa PM wengine niliowapenda lakini wala hawajanijibu .Hivi kweli inaingia akilini mtandao mkubwa kama huu kweli nakosa mtoto wa kupiga naye stori huenda kuna mkono wa mtu. Saweni tu sasa hivi ngoja nijaribu kutafuta mchumba kupitia badoo labda huenda nikapata mtoto wa kunifariji moyo wangu .Inasikitisha sana kwa kweli.
mwambie kabisa asije akalogwa akaja kwako atabebwa vibaya
Hahahaaa... alafu nilitaka nimwambie aje kwangu maana nimemuonea hadi huruma....
Najitahidi kuongea nao hawanielewi .kinachosikitisha hawajibu lolote nikiwa PM sasa sijui wanajua natania wakati mimi nipo serious.
ayaaa! Utanifanya dunia inishangae kwa nitakacho wafanya....... Usije thubutu
Hahahaaa... alafu nilitaka nimwambie aje kwangu maana nimemuonea hadi huruma....
Nipo tayari kuja kwako lakini kwakweli sina kipaji cha kusema .Naomba usiseme nilitaka ni mwambie bali sema ninataka nikwambie nadhani hivi itakuwa njema zaidi.
mwambie kabisa asije akalogwa akaja kwako atabebwa vibaya
Hahahahaaa lol... mtoa mada wajipenda kweli?
My x shem mgiriki, pls mtafute na Himidini mkuje huku...
hahahahaaaa!!!!-- kazi kweli kweli-- imebidi tu nicheke kudadeki!
wakati wengine wakikimbia na kufunga milango ya PM, kumbe kuna wengine hata PM hazijibiwi?
kaka jifunze kwanza lugha. narudia tena, jifunze lugha!!- tafakari hii kauli yangu- jifunze lugha!
weka tangazo lako afu uwe criouz utaona jins bebs znavyomiminika!
Duuhhh!!! Kwa hiyo SAYANSIkim hana swaga??? Mkuu sayans kim weka hapa jukwaani mapato yako kwanza....una akaunt ngapi?? Salar shi ngapi wenda watakwelewa warembo humu!!!!
Hauwezi kumwacha