Warembo wa MMU mpo wapi mbona mnaacha nateseka moyoni?

Warembo wa MMU mpo wapi mbona mnaacha nateseka moyoni?

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
1,132
Reaction score
260
Uvumilivu umenishinda nalazimika kusema hili nimetafuta mchumba kupitia LOVECONNECT sijafanikiwa basi sikukata tamaa nika anza kuwa PM wengine niliowapenda lakini wala hawajanijibu .Hivi kweli inaingia akilini mtandao mkubwa kama huu kweli nakosa mtoto wa kupiga naye stori huenda kuna mkono wa mtu. Saweni tu sasa hivi ngoja nijaribu kutafuta mchumba kupitia badoo labda huenda nikapata mtoto wa kunifariji moyo wangu .Inasikitisha sana kwa kweli.
 
Ukiwakosa MMU nenda jukwaa la siasa au chitchat wapo na huko.
 
Lile jukwaa lenu la watoto, hujapata mtoto mwenzako mpaka sasa?
 
Nenda Afrika sana usiku pale, ukikosa na pale basi kuna mkono wa mtu
 
1234829_445738702203116_755093823_n.jpg
 

Attachments

  • 1234829_445738702203116_755093823_n.jpg
    1234829_445738702203116_755093823_n.jpg
    15.1 KB · Views: 518
Ukiwakosa MMU nenda jukwaa la siasa au chitchat wapo na huko.

Huko jukwaa la siasa wako bize kuzungumza mambo ya kujenga nchi mambo haya hawafikirii nikienda huko nitaishia kuabika bure.
 
Nenda kwa mganga ukasafishe nyota kwanza!
 
Hahhhhahhhhahhha aisee unalalamikaa wewee sijapata kuona hivi una miaka mingapiii
 
wamesema wamechoka kusemwa!mkiomba kuonana mnakuja kuwasema huku.eti wanasema wanataka wanaume na si wavulana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom