Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Wachaga ni Samsung flat screen 42''
Wanakimbiza nini??
Haswaaaaaa
huo mlinganyanyo wako ni kama mbingu na aridhi ningeona unapatia endapo may be ungelinganisha wambulu na wanyarwanda atleast hata warangi na wanyarwanda au maasai na wanyarwanda au wa iraki ila wachaga hamna kitu labda kuuza duka ( sifa za madem wa kichaga wengi wafupi hata kama ni warefu wengi wanatumiguu kama twa mbayuwayu,kiuno na mgongo huwez kuvitenganisha na sura fupi (zimebonyea) huko kitandani ndo hawajui kabisa) au una utani na wachaga nini?
tusi vs chaga
![]()
![]()
Kadri siu zinavyoenda mimi huwa nazidi kuwakubali wachaga japouwa wana kasoro kasoro za hapa na pale!
ofcoz linapouja suala la urembo, japo hawajui jinsi ya ujiweka smart sana laini wako vizuri mno compared to Rwandans, wale wanawahi kuzeeka mno aisee!!
Nishakutana na wachaga kama watatu hivi! so cute kwa kweli!
Kasoro moja tu iliyowafanya wasiwe na mimi____ wafupi sana!!
kiukweli mimi siwez kuwa na mwanamke anayenifikia wenye kiwiko! lol
ulikutana na mpare mkuu.. sisi wachaga ni warefu bhana
kwa heshima na taadhima nakukaribisha pm uthibitishe haya madai yako!
La sivyo utakuwa umeniuzia gunia kwenye mbuzi! teh...
penda sana chagga beibiz mm!
hahaaaaaaa... tangulia nikukute
Kadri siu zinavyoenda mimi huwa nazidi kuwakubali wachaga japouwa wana kasoro kasoro za hapa na pale!
ofcoz linapouja suala la urembo, japo hawajui jinsi ya ujiweka smart sana laini wako vizuri mno compared to Rwandans, wale wanawahi kuzeeka mno aisee!!
Nishakutana na wachaga kama watatu hivi! so cute kwa kweli!
Kasoro moja tu iliyowafanya wasiwe na mimi____ wafupi sana!!
kiukweli mimi siwez kuwa na mwanamke anayenifikia wenye kiwiko! lol
ulikutana na mpare mkuu.. sisi wachaga ni warefu bhana