Warembo wa kiarabu wa Tabora

Nashukuru huyu muumba nimefanikiwa kuoa mwarabu wa Tabora .Tatizo linakuja kwenye dini ,mimi Ni RC yeye ni muislam lakini halinipi shida kabisa bora upendo ndani ya nyumba .Abaki na dini yake na mimi nibaki na dini yangu ,Hayo yote kuhusu dini ni IMANI TU ,DINI ZOTE ZILILETWA NA WAFANYABIASHARA NA WAPELELEZI TU ,NA NYINGINE ZILILETWA NA WAMISHIONARI ,MIMI SIANGALII IMANI YA MTU NAANGALIA UPENDO WA MTU TUU .
Nataka kujua je hukupata tabu kwao kidini na watoto wanafuata dini ipi,
 
Nashukuru huyu muumba nimefanikiwa kuoa mwarabu wa Tabora .Tatizo linakuja kwenye dini ,mimi Ni RC yeye ni muislam lakini halinipi shida kabisa bora upendo ndani ya nyumba .Abaki na dini yake na mimi nibaki na dini yangu ,Hayo yote kuhusu dini ni IMANI TU ,DINI ZOTE ZILILETWA NA WAFANYABIASHARA NA WAPELELEZI TU ,NA NYINGINE ZILILETWA NA WAMISHIONARI ,MIMI SIANGALII IMANI YA MTU NAANGALIA UPENDO WA MTU TUU .
Ni kabila gani huyo mdada wa kiarab?
 
Laki tatu kwa wiki mbili? Daaah kweli watu hamfanyi starehe kabisa
Nina safari ya kwenda Tabora mwezi wa 3 kwa ajili ya biashara. Natokea mkoa wa Kilimanjaro, si unajua Kilimanjaro hamna mademu wa kiarabu au wabushiri. Nikiwa Tabora nina mpango wa kutafuta kimwana wa kiarabu, mwenye connection please let's me know please.

Na sijawahi kufika Tabora kukoje. Je ni Kama Arusha au Kilimanjaro or Morogoro or Dodoma? Natumaini kupata msaada from you guys. Yaani kinachonimaliza kwa hawa Waarabu ni zile nywele zao za miguuni na nywele ndefu za kichwani halafu na ule weupe ambao haujapata Jua kali kwa ajili ya kufunikwa na zile nguo zao nyeusi akifungua tu hilo paja jeupee.

Kama Waarabu wa Tabora wanakunywa alcohol niongezee budget yangu ya 250,000 to 300,000 hiyo ni kwa ajili ya kunywa na kula tu for two weeks. Ndio maana nilikuwa naulizia If Arab chicks drink some wine or hard liquor.
 
Nashukuru huyu muumba nimefanikiwa kuoa mwarabu wa Tabora .Tatizo linakuja kwenye dini ,mimi Ni RC yeye ni muislam lakini halinipi shida kabisa bora upendo ndani ya nyumba .Abaki na dini yake na mimi nibaki na dini yangu ,Hayo yote kuhusu dini ni IMANI TU ,DINI ZOTE ZILILETWA NA WAFANYABIASHARA NA WAPELELEZI TU ,NA NYINGINE ZILILETWA NA WAMISHIONARI ,MIMI SIANGALII IMANI YA MTU NAANGALIA UPENDO WA MTU TUU .
Hebu simama kama Mwanaume wewe!!!. Unaogopaje kumbadilisha shemeji kufuata Imani yako?. Mbona Waislamu wakioa Mkristo wanambadili anakuwa Muislamu?. Wewe jamaa unatuangusha wanaume Marijali.
 
Nilifanya kazi sehemu inaitwa Bukene wilaya ya Nzega Tabora.mweh kuna waarabu wa kufa mtu,wanafungiwa ndani na wakitoka ile jioni jioni ukiwaangalia utadhani wametoka Oman,waulize majina yao matatu ucheke ufe.utasikia naitwa Zulhan Zaholo Maganga.teh teh teh! Hilo la Maganga ni la kisukuma mule mule yani
Kweli kabsa bukene mabinti machotara wengi Ila cha ajabu vijana wa maeneo hayo wanawaogopa balaa mpaka wanazeekea nyumbani, kisa eti wanawaona sio hadhi zao.
Natamani kurudi bukene.
 
Kweli kabsa bukene mabinti machotara wengi Ila cha ajabu vijana wa maeneo hayo wanawaogopa balaa mpaka wanazeekea nyumbani, kisa eti wanawaona sio hadhi zao.
Natamani kurudi bukene.
Kuna lodge gani nzuri hapo Bukene Mkuu? Utalii wa ndani unahusika sana.
 
Kuna lodge gani nzuri hapo Bukene Mkuu? Utalii wa ndani unahusika sana.
Bukene sikuona lodge kabsa bali guest tu. Unataka ukabebe chotara wa kiarabu na kinyamwezi!!!?
Kama jibu ni ndio utapata wa kumwagaaaa kbsa japo mchana hutowaona kwa wingi ila kuanzia saa moja usiku utawaona kwa wingi wakiuza vitu vibarazani kwao.
 
Bukene sikuona lodge kabsa bali guest tu. Unataka ukabebe chotara wa kiarabu na kinyamwezi!!!?
Kama jibu ni ndio utapata wa kumwagaaaa kbsa japo mchana hutowaona kwa wingi ila kuanzia saa moja usiku utawaona kwa wingi wakiuza vitu vibarazani kwao.
Inawezekana "kumchomoa" hapo kibarazani Mkuu?
 
Bukene sikuona lodge kabsa bali guest tu. Unataka ukabebe chotara wa kiarabu na kinyamwezi!!!?
Kama jibu ni ndio utapata wa kumwagaaaa kbsa japo mchana hutowaona kwa wingi ila kuanzia saa moja usiku utawaona kwa wingi wakiuza vitu vibarazani kwao.
Mkuu vipi, nawezaje kumtoa mtoto wa kiarabu hapo Bukene? Hebu nipe uzoefu wako aisee.
 
Back
Top Bottom