DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,328
Hehehehawa si ndio nasikia chupi mkononi, mguu upande muda wote
Hehehehawa si ndio nasikia chupi mkononi, mguu upande muda wote
Vipi babyDah!
Naona unatoa nondo honey!Vipi baby
Nataka kujua je hukupata tabu kwao kidini na watoto wanafuata dini ipi,Nashukuru huyu muumba nimefanikiwa kuoa mwarabu wa Tabora .Tatizo linakuja kwenye dini ,mimi Ni RC yeye ni muislam lakini halinipi shida kabisa bora upendo ndani ya nyumba .Abaki na dini yake na mimi nibaki na dini yangu ,Hayo yote kuhusu dini ni IMANI TU ,DINI ZOTE ZILILETWA NA WAFANYABIASHARA NA WAPELELEZI TU ,NA NYINGINE ZILILETWA NA WAMISHIONARI ,MIMI SIANGALII IMANI YA MTU NAANGALIA UPENDO WA MTU TUU .
Naona unatoa nondo honey!
Mpe tu ila sijui ka alipata huko tbHahahahahh au nisitoe
Watoto wa kiume wanaenda RC na wakike wanaenda uislam ,Nataka kujua je hukupata tabu kwao kidini na watoto wanafuata dini ipi,
Kama mmeshaoana condoms ya nini boss ? Meat by meat .Dah!
Ni kabila gani huyo mdada wa kiarab?Nashukuru huyu muumba nimefanikiwa kuoa mwarabu wa Tabora .Tatizo linakuja kwenye dini ,mimi Ni RC yeye ni muislam lakini halinipi shida kabisa bora upendo ndani ya nyumba .Abaki na dini yake na mimi nibaki na dini yangu ,Hayo yote kuhusu dini ni IMANI TU ,DINI ZOTE ZILILETWA NA WAFANYABIASHARA NA WAPELELEZI TU ,NA NYINGINE ZILILETWA NA WAMISHIONARI ,MIMI SIANGALII IMANI YA MTU NAANGALIA UPENDO WA MTU TUU .
Mkuu nahisi sio kauli yako hebu nenda maali wakacheki maana walisema umu Tabora **** Limbwata hukusikiaNdio mkuu .ukipenda kitu lazima ukifuate mbali,
Nina safari ya kwenda Tabora mwezi wa 3 kwa ajili ya biashara. Natokea mkoa wa Kilimanjaro, si unajua Kilimanjaro hamna mademu wa kiarabu au wabushiri. Nikiwa Tabora nina mpango wa kutafuta kimwana wa kiarabu, mwenye connection please let's me know please.
Na sijawahi kufika Tabora kukoje. Je ni Kama Arusha au Kilimanjaro or Morogoro or Dodoma? Natumaini kupata msaada from you guys. Yaani kinachonimaliza kwa hawa Waarabu ni zile nywele zao za miguuni na nywele ndefu za kichwani halafu na ule weupe ambao haujapata Jua kali kwa ajili ya kufunikwa na zile nguo zao nyeusi akifungua tu hilo paja jeupee.
Kama Waarabu wa Tabora wanakunywa alcohol niongezee budget yangu ya 250,000 to 300,000 hiyo ni kwa ajili ya kunywa na kula tu for two weeks. Ndio maana nilikuwa naulizia If Arab chicks drink some wine or hard liquor.
Hebu simama kama Mwanaume wewe!!!. Unaogopaje kumbadilisha shemeji kufuata Imani yako?. Mbona Waislamu wakioa Mkristo wanambadili anakuwa Muislamu?. Wewe jamaa unatuangusha wanaume Marijali.Nashukuru huyu muumba nimefanikiwa kuoa mwarabu wa Tabora .Tatizo linakuja kwenye dini ,mimi Ni RC yeye ni muislam lakini halinipi shida kabisa bora upendo ndani ya nyumba .Abaki na dini yake na mimi nibaki na dini yangu ,Hayo yote kuhusu dini ni IMANI TU ,DINI ZOTE ZILILETWA NA WAFANYABIASHARA NA WAPELELEZI TU ,NA NYINGINE ZILILETWA NA WAMISHIONARI ,MIMI SIANGALII IMANI YA MTU NAANGALIA UPENDO WA MTU TUU .
Hahahaha hahahahhaWekeni contacts zao mkono mtupu haulambwi
Kweli kabsa bukene mabinti machotara wengi Ila cha ajabu vijana wa maeneo hayo wanawaogopa balaa mpaka wanazeekea nyumbani, kisa eti wanawaona sio hadhi zao.Nilifanya kazi sehemu inaitwa Bukene wilaya ya Nzega Tabora.mweh kuna waarabu wa kufa mtu,wanafungiwa ndani na wakitoka ile jioni jioni ukiwaangalia utadhani wametoka Oman,waulize majina yao matatu ucheke ufe.utasikia naitwa Zulhan Zaholo Maganga.teh teh teh! Hilo la Maganga ni la kisukuma mule mule yani
Kuna lodge gani nzuri hapo Bukene Mkuu? Utalii wa ndani unahusika sana.Kweli kabsa bukene mabinti machotara wengi Ila cha ajabu vijana wa maeneo hayo wanawaogopa balaa mpaka wanazeekea nyumbani, kisa eti wanawaona sio hadhi zao.
Natamani kurudi bukene.
Bukene sikuona lodge kabsa bali guest tu. Unataka ukabebe chotara wa kiarabu na kinyamwezi!!!?Kuna lodge gani nzuri hapo Bukene Mkuu? Utalii wa ndani unahusika sana.
Inawezekana "kumchomoa" hapo kibarazani Mkuu?Bukene sikuona lodge kabsa bali guest tu. Unataka ukabebe chotara wa kiarabu na kinyamwezi!!!?
Kama jibu ni ndio utapata wa kumwagaaaa kbsa japo mchana hutowaona kwa wingi ila kuanzia saa moja usiku utawaona kwa wingi wakiuza vitu vibarazani kwao.
Mkuu vipi, nawezaje kumtoa mtoto wa kiarabu hapo Bukene? Hebu nipe uzoefu wako aisee.Bukene sikuona lodge kabsa bali guest tu. Unataka ukabebe chotara wa kiarabu na kinyamwezi!!!?
Kama jibu ni ndio utapata wa kumwagaaaa kbsa japo mchana hutowaona kwa wingi ila kuanzia saa moja usiku utawaona kwa wingi wakiuza vitu vibarazani kwao.