Kizazi cha Waturuki Mkoa wa Tabora

Tuagize

JF-Expert Member
Dec 5, 2021
238
548
I hope wazima wote humu ndani,

Nimengia juzi mkoani Tabora, binafsi nimetokea kupapenda sana hususani maeneo ya mjini hali ya hewa ni nzuri sana, lounge ni nyingi na watoto wapo wa kutosha. Lounge kumkuta mwanamke wa Kiarabu kavurugwa ni kawaida sana, ila kiukweli watoto ni wamoto mno.

Kuna pahala panaitwa Terrace Lounge, ebwana eh hapo ni moto wa kuotea mbali, kuna baby za kila aina.

Twende kwenye mada...

Kwanini nasema Tabora kutakuja kuwa na uzao wa Waturuki baadae; sasa hivi kila unapokata mtaa lazima ukutane nao hawa jamaa. Yaani kila bar wapo, inafika stage club huwa na muda wa kupiga nyimbo za Kituruki, na dada zetu wanawagombania sana.

Naona kabisa Tabora kuja kuwa na kizazi cha Kituruki hapo baadae kama ilivyo kwa Waarabu walivyoacha uzao wao hapa Tabora. Wazeee, waturuki ni wengi kweli kweli!

NB: Nina safari ya kwenda Igunga, mwenye salamu zake anitumie mapema.
 
Pale Keko, nilikutana na dogo "mchina" nadhani alikua na miaka kati ya 13 - 16. Nywele zimevuka mgongo zimefika kiunoni. Amevaa yeboyebo huku ya blue, mguu ule ya kaki. Shati limechanika mgongoni, na alikua kachafuka sana!

Watu wakasema ni zao la wachina waliojenga Kilwa road!
 
I hope wazima wote humu ndani

Nimengia juzi mkoani Tabora binafsi nimetokea kupapenda sana hususani maeneo ya mjini hali ya hewa ni nzuri sana,lounge ni nyingi na watoto wapo wa kutosha lounge kumkuta demu wa Kiarabu kavurugwa ni kawaida sana ila kiukweli watoto ni wamoto mno,

Kuna pahala panaitwa Terrace Lounge ebwana eh hapo ni moto wa kuoteambali kuna baby za kila aina
Labda kama huko Toronto ni washamba sana,hapo Morogoro kama kuna madem waliozaa nao labda ni maboya kwani kwanza hao waErtug ni masikini,hawana hela,dem mmoja wanataka kupiga mande kwa maana wanapiga donei.
 
Hao jamaaa nasikia Wanapenda sana usodoma. Kuna kesi kadhaa nimezisikia kuhusu waturuki kupenda kinyume na maumbile kipindi Cha phase one hasa kwa wakazi wa mlandizi.

Wakazi wa hayo maeneo wawe makini na marinda yao ya sketi wanazovaa.
Sasa nani wa kulaumiwa? Hao dada zetu wanaokubali kutolewa marinda au hao watoaji marinda?

Dada zetu tamaa zao za hela wanaishia kuuza utu wao!!! Mfano mwingine ni wa kina Hakika Ruben na cabinet yake, walitoa clip za wazi kabisa wakisema wanaranduliwa marinda na wanaume wenzao halafu wanapewa Sh 10,000/=!!!

Watanzania tujitafakari sana huko tunapokwenda, tuache kutupa lawama kwa wengine, ni sisi ndio wenye upumbavu na kukosa maadili.
 
Labda kama huko Toronto ni washamba sana,hapo Morogoro kama kuna madem waliozaa nao labda ni maboya kwani kwanza hao waErtug ni masikini,hawana hela,dem mmoja wanataka kupiga mande kwa maana wanapiga donei
Nilikua Morogoro siku moja pale samaki samaki nilikaa nao hao watu na usemayo ni kweli. Walikua wanamlazimisha dada mmoja wakamle mande.
 
Hawa wakandarasi hawaachi kuacha watoto wao huko wanakopita kujenga reli, barabara na miradi mingine. Wachina wa mabarabarani waliacha mbegu zao, wazungu wa kujenga njia kubwa za umeme nao walidondosha mbegu zao sehemu walikopita. Ishakuwa kawaida wajenzi wa miradi kuacha mbegu zao wanakojenga miradi. Hii hata kwa wazawa mwendo ni huohuo kupata watoto huko kwenye miradi ya ujenzi wa miradi.
 
Pale Keko, nilikutana na dogo "mchina" nadhani alikua na miaka kati ya 13 - 16. Nywele zimevuka mgongo zimefika kiunoni. Amevaa yeboyebo huku ya blue, mguu ule ya kaki. Shati limechanika mgongoni, na alikua kachafuka sana!

Watu wakasema ni zao la wachina waliojenga Kilwa road!
Duuuh sasa mama ake alishindwa hata kumuweka soft?
 
Pale Keko, nilikutana na dogo "mchina" nadhani alikua na miaka kati ya 13 - 16. Nywele zimevuka mgongo zimefika kiunoni. Amevaa yeboyebo huku ya blue, mguu ule ya kaki. Shati limechanika mgongoni, na alikua kachafuka sana!

Watu wakasema ni zao la wachina waliojenga Kilwa road!
Keko nimewahi kupanga nyumba moja na mdada kazaa na mchina, na alikuwa anakuja kumtembelea ila baadae akamhamishia kariakoo. Sikuwahi kufikiri ni wachina wajenzi wa kilwa raod! Kumbe ndo maana tulikuwa tunaambiwa yule mchina ni injinia 😂
 
Tatizo la watu wa Tabora ni ufala na ushamba walionao toka kuzaliwa na ndiyo maana mimi mtu akiniita Mnyamwezi namrukia na kutaka kumuua kwani ni dharau kwangu kuitwa jina hilo, mimi si fala wala mshamba.....najitambua Saną.

Tabora waarab koko kibao hawana ishu yeyote na wengi wao hawajitambui kwani hawajuwi asili yao, hapa wadada wanawashadadia waturuki, yaani of all the people...waturuki kweli? Watazalishwa na hawa waturuki na kuachwa Solemba mwisho wa siku watoto wao pia hawatojitambua kwa kutojua baba zao. Mkoa wa Tabora unaongoza kuwa na masingo maza kibao hapa nchini na watu waliovurugwa. Pia, mkoa na mji wa Tabora unaongoza kuwa na vichaa wengi hapa nchini, tukae mkao wa kula kusubiri waturuki kuwa vichaa baada ya kukataa kuoa wanawake waliowazalisha.
 
Pale Keko, nilikutana na dogo "mchina" nadhani alikua na miaka kati ya 13 - 16. Nywele zimevuka mgongo zimefika kiunoni. Amevaa yeboyebo huku ya blue, mguu ule ya kaki. Shati limechanika mgongoni, na alikua kachafuka sana!

Watu wakasema ni zao la wachina waliojenga Kilwa road!
Tena hao blackchinese wamejaa tele huku njia ya kibaha😁
 
Tena hao blackchinese wamejaa tele huku njia ya kibaha😁
Wachina wanawake wapo na easy go ukimtaka mbongo unamla Ila uwe na staha, kuna mmoja wa kishua nilikua nampigia misele sema wachina hawanaga story nyingi akiongea akiwa anakusisitiza km anakukaripia shushwayayanje shenyenjinge swashweshishu utaelewa tu shisey shishineyuashuzi
 
Hawa wakandarasi hawaachi kuacha watoto wao huko wanakopita kujenga reli, barabara na miradi mingine. Wachina wa mabarabarani waliacha mbegu zao, wazungu wa kujenga njia kubwa za umeme nao walidondosha mbegu zao sehemu walikopita. Ishakuwa kawaida wajenzi wa miradi kuacha mbegu zao wanakojenga miradi. Hii hata kwa wazawa mwendo ni huohuo kupata watoto huko kwenye miradi ya ujenzi wa miradi.
Wewe ukiwa unaenda kwenu Kigoma Ujiji njiani hauchimbi dawa ?
 
Back
Top Bottom