Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

Kwanini hugawanywe kwa Waislamu peke yao kwani Tanzania kwenye ucahguzi mkuu tunachagua kiongozi wa Waislamu pekee au wa Watanzania wote ambao ni wa dini mchanganyiko. Mbona waraka wa Wakatoliki wenyewe hausambazwi kwa Wakatoliki pekee au Wakristo pekee?

Watanzania tuangalie kuna watu wanajifanya wana uchungu na dini zao kuliko watu wengiine tukiwaacha hawa watu watatuingiza kwenye moto na hii nchi haitakalika, malumbano ya kidini ni mabaya sana kwenye nchi kama Tanzania ambayo ina dini nyingi na zenye nguvu tofauti tofauti
 
Waraka wa waislam kwa mwelekeo tu na maneno ya akina Yahaya msoma nyota na wengineo hakika lazima utazungumzia waislam kuonewa na kutaka kuwachagua waislam hapo hakuna kitu na kama mnabisha mie nakaa kimya uletwe hapa watu watakimbia .Utakuwa aibu kwa nature tu ya jamaa zangu hawa pupa na papara .Mungu anawapigania watu na Mungu hapiganiwi na mwanadamu.Duh !! haya

Tusihukumu kabla ya kuuona waraka wenyewe. yawezekana ukawa na maono mema jamani.
 
Kinachomfanya mtu aonekane mwenye kufikiri kwa makini, ni uwezo wake wa kuona yanayotokea na kuchukua hatua. Yeyote anayefanya hifyo kwa sababu tu flani amabye anaonekana ni wa itikadi tofauti naye, basi si mwenye kufikiri, bali amefikirishwa na busara za aliyeanzisha fikra pevu, na kuchukua hatua.

Nimeeleweka nadhani.
 
.Mungu anawapigania watu na Mungu hapiganiwi na mwanadamu.Duh !! haya

Naam!!
 
Junius,
Mkuu wangu navyoelewa mimi dini inatakiwa kuingilia siasa (sio Kuingia Siasa) ikiwa haki ya wananchi inakiukwa ama hakuna Uhuru wa kuabudu.. Lakini kama mambo haya yote yanatendeka kwa utashi wa waumini wenyewe na sii nguvu ya serikali (ambayo viongozi wake ni waumini wa dini hizo zhizo) basi bila shaka dini hazihitaji mguu wake ktk siasa. Dini wanatakiwa kushauri ama kuonya machafu yanayopingana na mafundisho ya dini hizo.

Hakuna Aya, hadithi wala agano ambalo Mwenyezi Mungu amesisitiza tuwachague viongozi wa nchi zetu Mrengo wa siasa ikiwa nchi hizo zina Uhuru wote wa kuabudu Mungu huyo.
Hii habari ya waraka na sijui MWONGOZO ni mwanzo wa serikali kuonyesha imekosa nguvu na mwelekeo. Hawa wote wanaoandaa waraka ni mawazo yao, ama niseme mawazo ya watu wachache ambayo hayawezi ku represent waumini wote wa dinin hizo kwa sababu hayatokani na Aya wala sura mojawapo ya dini hiyo.. Askofu au huyo Mufti ni viongozi wanaowakilisha sehemu ndogo sana ya wafuasi wa dini hizo...
Kinachofanyika sasa hivi ni kama vile tunawaambia viongozi wa nchi yetu hawana dini ni makafir na sisi ndio waumini wa kweli.




Viongozi wa dini wanachosema si kwamba viongozi wetu wa serikali hawana dini bali wanachosema ni kwamba viongozi wetu wa serikali wamesahau ama wanapinda makusudi yale yanayohubiriwa na dini zao na kuweka mbele maslahi yao binafsi. Misululu mirefu ya scandals tunazozisoma magazetini ni ushahidi tosha kwamba viongozi wetu - hata kama wana dini - wanatumia nyadhifa zao kujineemesha zaidi kuliko kuleta maendeleo kwa wananchi.

Hivyo basi, ni wazi kwamba wale viongozi wa dini wenye mioyo ya imani ya kweli na uchungu wa nchi hii wanayo haki na sababu kutoa nyaraka ili ziweze kuwa kiongozi cha wapiga kura wetu wasiwachague viongozi watakaoendelea kutuumiza kwa kututia hasara kwa scandals pengine za ovyo zaidi na kuliangamiza taifa hili kuliko Richmond na wenzake.
 
Cuf mmeshatekwa na hoja zenu mmekubali kuziuuza ,kwa hiyo subirini kipigo kingine cha ballot.Mimi naomba msikatae kujaza fomu baada ya matokeo.

Hivi kwa nini Maalim Seif analia kuliko "wafiwa"? Waraka wa Maaskofu unawalenga Mafisadi na yeye sio fisadi kwa nini amepiga kelele sana kwenye kipindi cha "je Tutafika"? Au anajua ndio mwisho wa CUF Tanzania Bara?
 
Personally nasupport nyaraka zote as long as wote twalenga common interest ya kumkomboa mtanzania wa kawaida katika ili dimbwi la umasikini.
Ila udini usiingizwe kwenye huo waraka ie needs to be general not bias to people of particular sects or religion.Apo tutaweza waamsha watz waliolaa.
Kama Malawi wameweza kupiga chini chama Tawala in in 5 years time kwa kutumia nyaraka kama izo why not Tz?
 
Hivi kwa nini Maalim Seif analia kuliko "wafiwa"? Waraka wa Maaskofu unawalenga Mafisadi na yeye sio fisadi kwa nini amepiga kelele sana kwenye kipindi cha "je Tutafika"? Au anajua ndio mwisho wa CUF Tanzania Bara?
ni mdini mkuu. anawaza uislam tu wakati wote, ndo maana hatakuja achukue nchi hata siku moja. pamoja na kwamba cuf sasa ina nguvu, lakini subutu kama atachukua zenji mwakani.

huku bara ndo kabisaaa, hawawezi kabisa, hatutaki kusikia kitu kinaitwa cuf. hatutaki udini hapa.tunajifunza kwa Nigeria ya kaskazini.
 
Muslims cautioned over document on elections

  • Minister says guidelines to be released on Friday should not cause disharmony
By Paul Dotto, Dar and Patty Magubira, Mwanza

The Government yesterday cautioned Muslim leaders against issuing a document similar to the controversial Catholic booklet containing guidelines for voters on how to choose leaders in next year's General Election.

The State Minister in the Prime Minister's Office (Policy, Co-ordination and parliamentary Affairs), Mr Philip Marmo, advised the religious leaders to avoid anything that could create disharmony in the country. He cited the Catholic Church document, which he said had sparked heated exchanges among politicians, professionals and even ordinary citizens.

But speaking in Mwanza during a requiem Mass for Bishop Anthony Mayalla, which was also attended by President Jakaya Kikwete (see separate story Page 3), top Catholic Church leader Polycarp Cardinal Pengo told the Government not to meddle in religious affairs by censoring evangelical circulars.

Cardinal Pengo was apparently responding to the recent criticism by some CCM and government officials of the Roman Catholic Church circular, which guides its followers on how to choose good leaders in the civic poll later in the year, and in next year's General Election.

Minister Marmo was reacting to the plan by leaders from the Supreme Council of Islamic Organisations and Institutions in Tanzania (Shura ya Maimamu), who have prepared a document called 'Mwongozo', which they say is intended to guide followers on important social and political issues ahead of October's civic vote and next year'selections.

However, the minister said the Government respects the freedoms of expression and worship enshrined in the Constitution.

"Religious leaders should keenly weigh and consider the possible effects before launching such documents. But I have no doubt that theirs will adhere to those principles and will not break any laws," he said.

"We believe that groups, which have been preparing directives as we approach the elections do so with good intentions of offering civic education. We don't expect them to dwell on politics and direct people on who to vote for, as this would be contrary to the Constitution," he added.

The secretary general of the Supreme Council of Islamic Organisations and Institutions in Tanzania, Sheikh Ramadhan Sanze, announced that their document on the forthcoming elections was ready and would be launched tomorrow at Mnazi Mmoja grounds in Dar es Salaam.

He said they had decided to launch it after the Government failed to take action following the release of the Catholic Church's pastoral letter on civic rights.

Sheikh Sanze added: "We don't have any problem with the Church. Our target is the Government, which failed to respond to their document."

However, the clergyman explained that their preparations started long before the Catholics issued their pastoral letter and was, therefore, not necessarily a reaction to it.

"Even in 2005, we released similar civic education guidelines. However, what we are going to launch will now incorporate a reaction to the church document," he said.

The Shura ya Maimamu secretary general, Sheikh Ponda Issa Ponda, told The Citizen that more than 100 Imams from across the Mainland regions had put together a collective stand on the coming elections.

"We are not in the position to divulge the contents of the document at this point. But the main focus is on health, education, the economy, freedom of expression, and democracy," Sheikh Ponda said.

Ruling Chama Cha Mapinduzi stalwart Kingunge Ngombale-Mwiru, who recently added fuel to the controversy on the Catholic document by asking the Church in his contribution in Parliament in Dodoma to consider withdrawing it, arguing that it posed a threat to country, declined to comment on the Muslim leaders' initiative.

When reached for comment, the veteran politician and long-serving former Cabinet minister, posed:"Why do you ask me about this? I have no comment."

Another ruling party MP, who is also on record as having strongly opposed the Church manual, Mr Manju Msambya, of Kigoma South, also declined to comment.

Speaking in Mwanza, Cardinal Pengo said the Government's attempt to censor the Church over the document was tantamount to trying to dictate to clerics how to write their evangelical circulars.

He directed Roman Catholic bishops around the country to stop issuing such circulars if the government criticism persisted.

Cardinal Pengo denouncing the Government criticism, cited Poland's past communist government, which tried to gag religious leaders, to no avail.

"I do not want to provoke anyone by saying this, but I want to know if Tanzania today is far from Poland's communist government, and if the country is not heading in the same direction by trying to censor clerics' circulars," he said.

This, the cardinal said, was tantamount to the government to putting itself in God's shoes "as was the case with Poland's communist leadership".

Our sister paper, the Sunday Citizen, exclusively broke the news in June that the Catholic Church issued an elaborate document, which was being circulated to its followers around the country to educate them on the qualities to look for when voting for leaders in next year's elections.

Since then, debate has been raging countrywide, with some critics, arguing that politicians are alarmed because the Catholic booklet also calls for electoral reforms before the elections.

The Church has rejected calls by politicians to withdraw the document, arguing that those opposed to it are either supporters of the mega corruption scandals in high places or beneficiaries.

However, some analysts have warned that the acrimonious debate on the Catholic civic education blueprint might lead to divisions along religious lines if not well handled.


Source: The Citizen 27/08/09

I think the government should stay quite in my opinion and not interfere this issue. They did not comment on Catholic's so called "Waraka" they are starting a new saga with muslims. Let us see what will be the next move.
 
hivi serikali inaogopa nini kwenye hizi nyaraka.acha mashehe kwa mapadre na wachungaji watoe nyaraka nyingi wawezavyo,si wanatuelimisha jinsi ya kuchagua viongozi bora kwenye uchaguzi ujao au
 
Naamini huo waraka hautatofautiana sana kimaudhui na ule wa Katoliki. Huu nu ujumbe kwamba kuna tatizo la kiuongozi katika nchi yetu kwa hiyo lazima ifanyike intervention. Nani ata-intervene ndo hivyo wamejitokeza Wakatoliki na sasa wanakuja ndugu zangu Waislamu.
 
Naamini huo waraka hautatofautiana sana kimaudhui na ule wa Katoliki. Huu nu ujumbe kwamba kuna tatizo la kiuongozi katika nchi yetu kwa hiyo lazima ifanyike intervention. Nani ata-intervene ndo hivyo wamejitokeza Wakatoliki na sasa wanakuja ndugu zangu Waislamu.

kesho watakuja walutheri, kisha wasababato, kisha waanglican na walokole n.k


lazima nchi ichukue hatua kinyume chake itakuwa balaa
 
Ni waraka wa Kiislamu au wa waislamu?
Uletwe kwanza tuusome. Kama unapinga ufisadi na kukiuka miiko ya uongozi, na kuwataka waislamu wawachague viongozi wasio wezi na mafisadi na uletwe. Tuusome kwanza usipingwe tu bila hata kuuona. Naona Marmo naye ameanza Kingenge approach.
 
Baada ya waraka Katoloki kuhusu mwongozo wa uchaguzi, Waisilam nao wanakuja na waraka wao.Kazi kwetu kusubiri kila kund kutoa waraka wake
 
Waachiwe watoe waraka wao na sisi wananchi tuchambue kama ni pumba tuwahukumu kwa pumba zao sidhani kama kuna sababu ya kuwazuia kutoa waraka wao.
Jamani waislamu go on leteni huo waraka ni haki yenu sisi turuhusuni kuusoma msije mkawa mmeuandika kwa lugha yenu ile ya kiarabu. Hapo tutawauliza maswali.
 
Last edited:
Haya jamani kwa wale mliopo jijni Dar, mida ndo hiyo harakati za kuuzindua huo waraka zikoje mpaka hiv sasa?
 
Maadam nyaraka ni kwa ajili ya watz kuchagua viongozi bora mbona hazina tabu kabisa, maana hiyo ni kona nzuri sana ya kuwang'oa wale walio wabovu.
Kwa hiyo hata kama kila kaya itatoa waraka kwangu mimi sawa tu.
Maana watawala wana miongo kibao na ilani zisoo tekerezeka Go ahead Muslim brothers drop it on..
 
Baada ya waraka Katoloki kuhusu mwongozo wa uchaguzi, Waisilam nao wanakuja na waraka wao.Kazi kwetu kusubiri kila kund kutoa waraka wake

Tayari kuna thread kuhusu walaka wa waislam. Kama ungeenda kuchangia huko ingekuwa vema badala ya ku-create confusion. Personally nilifikiri umeuweka hapa ili tuuone!!!
 
Back
Top Bottom