Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 687
Kama ni neutral mbona sehemu nyingi inasema "Maslahi ya Waislamu" badala ya "maslahi ya Taifa" au "maslahi ya Watanzania"? Mkuu unakua muongo na wakati waraka upo na maneno yake yapo? Duh! Haya what's your definition of neutral? Nilikupa challenge huko nyuma umekwepa.
Usitarajie kupata majibu ya maswali yako, the guy is totally biased!