Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Duh! kazi kwelikweli..lazima ukubali kutofautiana na kuishi katika kutofautiana so siungi mkono hoja yako...kama wewe ni mfadhili wa JF go ahead ifunge...lakini hoja yako inaiingilia uhuru wa kutoa mawazo..tena ni vizuri kusikiliza mawazo ya usiowapenda au wamesema kweli nini naona uko very concernNa kitu kikisemwa sana hata kama ni cha kijinga kinaweza kugeuka kuwa kama vile ni kweli. Kugawanya watanzania hakuna maslahi kwa nchi yetu.
Wahusika nawaombeni mpeleke hii thread kapuni ifungiwe. Mwisho wake ulikuwa tarehe 14.10.2009. Mods ujumbe umefika? naomba nijue kama unafanyiwa kazi