Sawa mkubwa,u fool wangu ndio maana nashindwa kumuelewa Pascal.Hakuna tuhuma za hivi hivi yaani itokee tu uzushushiwe shoga.Ni kazi "kuwaridhisha" intellectually challenged fools kama wewe. Umeshawahi kusikia misemo kama "Burden of proof is on the believer", "Innocent till proven guilty" etc, maana ni wazi weledi wako ni mdogo.
Hapana,tumia kichwa kufikiriso unataka tuamini kwamba yeye ni shoga?
Rudia kusoma vizuri ili uelewe. Waliozusha ni watu wa humu ambao sijawahi kukutana nao ana kwa ana. Sasa wewe kwa akili yako ya mjusi utaanzia wapi kunizushia mimi habari za ushoga wakati hatujuani zaidi ya hapa JF? Fikiria.
Mkuu pengine ni vile unavyoandika..........sometimes maandishi ni kama kauli....binafsi sijawahi muona MALARIA SUGU lakini kwa uandishi wake kamwe simpendi
Rudia kusoma vizuri ili uelewe. Waliozusha ni watu wa humu ambao sijawahi kukutana nao ana kwa ana. Sasa wewe kwa akili yako ya mjusi utaanzia wapi kunizushia mimi habari za ushoga wakati hatujuani zaidi ya hapa JF? Fikiria.
Naandikaje? Na utakuwa mjinga kutokumpenda mtu ambaye hata humjui as if yeye anakupenda!!
Ni maandiko kama haya.........
seriously?
Kweli Tanzania si kama nchi nyengine!!
seriously? SMH
Trust me.......
Jipime utakuwa na matatizo. Hakuna sehemu mwanamme alokatazwa kutumia neno kupenda. Anaefikiri mwanamme kutumia kupenda kunamfanya awe gay, lazima atakuwa na matatizo ya kisaikolojia.
Jipime utakuwa na matatizo. Hakuna sehemu mwanamme alokatazwa kutumia neno kupenda. Anaefikiri mwanamme kutumia kupenda kunamfanya awe gay, lazima atakuwa na matatizo ya kisaikolojia.
In psychology there is a concept called 'projection'. Projection is the act of imagining that someone else has the same ideas, feelings, etc., that you have. An example of this is when someone thinks everyone else is gay because they themselves are either gay or they harbor homoerotic fantasies.
Kabla ya kuhukumu ni vizuri ukasoma post zangu kwa mjumuiko na siyo post moja........sina tatizo na Nyani Ngabu ila nilikuwa naeleweshana nae juu ya maandiko ya mtu kurepresent personality yake........halafu tuliza hasira
Kabla ya kuhukumu ni vizuri ukasoma post zangu kwa mjumuiko na siyo post moja........sina tatizo na Nyani Ngabu ila nilikuwa naeleweshana nae juu ya maandiko ya mtu kurepresent personality yake........halafu tuliza hasira