Ni afadhali kuongozwa na fisadi mmoja aliyetubu na kubadilika, ambaye atawatetea Watanzania kwa kuongozwa na kundi la watu wasafi, kulilko mtu mwenye hila mmoja aliyewekwa chambo ili aongozwe na rundo la mafisadi nyangumi walioko ccm. Mbona hamsemi mafisadi wa meremeta, kagoda, barabara, escrow, epa, n.k walioko ccm mmewafaya nini?
Tumia akili yako vizuri.
Ni afadhili kukaa na donge moja la maji chumbani kuliko kuishi kwenye shimo la choo.
Tunamchagua Lowasa chini ya UKaWA, kwa Tanzania mpya!.
Chukua like mkuu Tabby umefafanua vizuri. Tubadili mfumo mzima unaolea mafisadi kwa ujumla. Mambo mengine mbele kwa mbele.