brown green
Member
- Jul 31, 2015
- 35
- 34
Nawaonea huruma sana watanzania kwa kumwamini Magufuli
Kigamboni alisema pigeni mbizi kama hamuwezi kulipa 200.
Biharamulo walipomuomba suala la maji akawaambia wakusanye ndoo wajaze mkojo wafanye maji
Kwake walimuomba barabara ya lami akawaambia wachukue ndoo wajaze kinyesi wapake barabarani iwe lami
Kigamboni alisema pigeni mbizi kama hamuwezi kulipa 200.
Biharamulo walipomuomba suala la maji akawaambia wakusanye ndoo wajaze mkojo wafanye maji
Kwake walimuomba barabara ya lami akawaambia wachukue ndoo wajaze kinyesi wapake barabarani iwe lami