kendakubonaontwale
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 201
- 25
Jamaa unatetea ujinga ulioko masijara,kama barua iliondikwa ilikua imeandkwa kw boss wa masjara mteja akilalamika kua amekua akidai rushwa? Je huoni mtuhumiwa aweza ficha barua hiyo? Kuna kitu kipo hapa mabosi wa tasisi nyngi za umma wanakula rushwa
kupitia watu wa chn.masjara wananyonga haki nyingi za wanyonge!!!
Hiii ni taharuma mkuu na huo ni utaratibu si kwamba wanajiamulia