Masijala katika ofisi za umma na binafsi

Masijala katika ofisi za umma na binafsi

MZIBHAZI

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
520
Reaction score
139
Hivi unaweza kutuma barua ofisi za serikal au za binafsi harafu hawa wanaopokea barua(masijala) amabo kimsingi ndio wanapokea barua je wanaweza wasiifikishe kwa muhusika??na ufanyeje kuhakikisha barua imefika kwa mlengwa??maaana sina uzoefu na hili swala nilituma barua huko mwanza ofis moja ya serikal mpaka sasa kimyaa sasa sijui kama ilfika au laa mwenye uelewa na hili anisaidie
 
Back
Top Bottom