basi ndo umelisikia leo
mdudu ni neno la utoto zaidi...
unatukumbusha mbaali..
ulicheza baba na mama?kombolela????lol
unampaka na mayonaise,unatafuta na salad....unakula kama donner meat vile na chips lol
NN am telling you hainaukatili kama unavyoichukulia! Uchungu wa mwana imagine awe ni mwanao wa miaka say minne au tano umkute mwanaume anakazana kumbaka, kama kuna silaha yoyote karibu ni rahisi kunyanyua aisee! Ikitokea ameua ndo akili inapanic anatafuta mbinu ya kuficha ushahidi.
Ok NN uko sahihi lakino nafikiri tuangalie na definition ya ukatili kwa sababu kwangu mie nachukulia kuwa hata mume alikuwa mkatili kubaka mtoto wako nako si ukatili?
Au sijaielewa hii habari mwe kidhungu nacho kigumu wajameni mie kwangu ni third language!
Pia tukumbuke kuwa kila mtu ana degree ya ukichaa its just a matter of pressing the right burton na kichaa anawezafanya lolote right!?
Mimi mwanaume anayembaka mtoto mdogo ni mwuuaji tu!
Tusimlaumu sana huyu mama. Huwa ukiwa na hasira ni rahisi kuchukua uamuzi usioutarajia.
Hii ni ya kawaida tu, mbona Asha Mkwizu? pale Upanga alifanya kitu kama hii???
Literally?
Lakini yawezekana ukifikiria sana mwanamke anaweza kujikuta yuko justified. Hivi tuseme ni nini hasa?
a. Dharau kwa mke
b. Kutokujali hisia za mke
c. Kutaka kula kuku na mayai yake?
Hivi mtu wa namna hiyo nini kinamzuia kumuingilia binti yake mwenyewe? Maana baadhi ya siri kubwa sana za familia ni hizi za mambo ya incest; kaka na dada au baba na binti!? Sasa kweli mke uje kugundua mumeo anamuingilia binti yako utafanya nini?
Mimi nina acquaintance ambaye alifanya hivyo lakini mkewe hakumuua na kumkata vipande vipande na kisha kuvichemsha hivyo vipande.
Hii ni ya kawaida tu, mbona Asha Mkwizu? pale Upanga alifanya kitu kama hii???
Reaction zetu hutofautiana, yeye aliona hiyo ya kumchop inafaa kwa wakati huo.
She was provoked akafikia point ya Temporary insanity
B*tchI have a feeling ulitaka kutumia neno jingine ukalimezea. Thanks!
Duuuuh lakin ni limwaaume lako sasa umeamua kuishi nalo inakuwaje hapo.Labda hauweki mambo yako kwake vizuri hadi anatamani mwana uliyekuja nae...!!Uchungu wa jianamme kumuingilia binti yangu..I can kill, chemsha and eat the man!
Who does he think he is?
Napenda hilo neno kwa kuwa si kali; Hata wanangu nawaambia tu mdudu wananielewa. Kwa hiyo kwangu si la utotoni tu, have being using it since.