Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
Yaani toka jana napata picha mikono, masikio na vidole vya marehemu vikiwa vimezidi sufuria huku vinachemka halafu mama anakuja na pilipili hoho, tangawizi na mdalasini... hii dunia hii...