GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,537
Kimtazamo mimi nashauri abaki,ili wapinzani waone jinsi demokrasia ilivyoshamiri ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Ameshakuwa ' Kirusi ' hatari ndani ya CCM yetu hivyo hatumtaki na tumemchoka afukuzwe upesi sana aende huko atakako.