Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye maslahi ya Taifa! Bashe ni mzalendo, aungwe mkono na wote!

Wakati mwingine ni vigumu kujua Lema anataka nini haswa. He seems not yet matured politically.

Kwake yeye ni lawama tu, kejeli tu, kana kwamba yeye anawakilisha kundi fulani la watanzania halisi na wengine hawajui wanataka nini!!.

Bashe kaongea kiungwana kabisa, Lema kaenda mbali zaidi kiasi cha kumkejeli yeye na Dr Kigwa. Sio fair kabisa.
 
Full of contradictions , mwenyewe useme wabunge wetu waajabu sasa wataenda kujadili nini- in short there is only one arm of central gvt in operation currently thus the executive kama hujuwi ntakuona mjinga sanaa...huyu Bashe wako juzi akasema RAIA mwema apigwe tu kisa polisi niwaCCM leo unalazimisha upinzani umuunge mkono??? Huwezi kumfananisha late Deo Filikujombe navitu vyaajabu, takataka Bashe.....watajadilia wapi? Kwa Tulia???is she impartial?? Mkuu acha kuanza kuharibu jina la mzee Mayalla.....
 
Wakati mwingine ni vigumu kujua Lema anataka nini haswa. He seems not yet matured politically.

Kwake yeye ni lawama tu, kejeli tu, kana kwamba yeye anawakilisha kundi fulani la watanzania halisi na wengine hawajui wanataka nini!!.

Bashe kaongea kiungwana kabisa, Lema kaenda mbali zaidi kiasi cha kumkejeli yeye na Dr Kigwa. Sio fair kabisa.
Acha kulialia Kigwa jinga tu!!
 
Pascal bwana!! As if watu wote hawafahamu siasa za vyama zilivyo nchi mbalimbali kama vile Kenya au Marekani Domocrats vs Republican!! Au huwa unalenga watu gani kutoa opinions zako!! Hakuna cha ajabu Bali ndio siasa zilivyo.
 
Watanzania ni wepesi wa kusahau!

Pia usisahau bandiko lako hapa JF lililokuwa limejaa matumaini kuhusu uchaguzi wa Kinondoni na kilichokuja kutokea.

Hoja ya Bashe ni nzuri na inawzeka ana nia njema tu ila tambueni CCM ni ile ile(wataikwamisha tu).

Pasco,kama watanzania wengine, huwa tunajawa na matumaini tunasahau CCM huwa haina nia njema kwenye mambo mema.

Wakati mnapeana matumaini,wenzenu saa hizi wanapanga mbinu za kuikwamisha au kuivuruga hoja hiyo.

Muda utaongea.
Kama wale watwana wanapanga kuhujumu hoja hii, basi upinzani kwa umoja wao waungane na Bashe kuipa nguvu hii hoja ndani ya Bunge ili mwisho mwishoni tujue nani mnafiki.
 
Pascal Mayalla Paskali,

Kwa nini unapenda kuangalia tulipoangukia huku ukiacha tulipojikwaa?
Hivi mwennendo wa bunge umekuwa sawa katika miaka hii michache?
Unakumbuka opposition ulitaka suala la Kibiti lijadiliwe na kwa wingi na nguvu wakalikatalia?

As long as Bashe yupo CCM hana moral authority ya kusema haya kwani kama mwanasiasa anayeamini anachokisimamia na haya nayozungumza leo ilikuwa tayari awe nje ya chama hicho.
 
Tia akili kichwani acha kukurupuka. Akanushe kwanza kauli yake hii na awaombe radhi Watanzania kwa kauli hii. Vinginevyo ndiyo wale wale wa kuuma na kupulizia.



Wanabodi,
Sii mara moja wala mbili nimewahi kusema tatizo kubwa la siasa za Tanzania ni ignorance and to some extent stupidity!. CCM na wana CCM wanaongoza kwa supremacy politics kwa superiority complexity kuwa wao ndio wenye haki miliki ya kuitawala Tanzania, na wapinzani wakifanya offensive politics with inferiority complex kuwa wanaonewa na kukosoa kila kinachofanywa na CCM hata kiwe kizuri vipi!. Huu ni ujinga na wengine ni stupidity!.

CCM haina haki miliki ya kuitawala Tanzania milele, bali imepewa tuu dhamama na Watanzania katika uchaguzi 'huru na wa haki', lakini CCM sio malaika, kuna mazuri mengi imefanya, yanapaswa kuungwa mkono, lakini pia kuna mabaya imefanya inapaswa kulaumiwa, kuonywa au kuadhibiwa.

Upinzani japo ni jukumu lake kukosoa, lakini sii kupinga kila kitu, linapokuja suala la national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc.

Kama nilivyosema tatizo kubwa la siasa zetu ni ujinga, ignorance, nikimaanisha Tanzania tuna wajinga wengi tena wengine sio wajinga tuu ni vichaa!. Hivyo ndani ya CCM, kuna wajinga wengi na kuna vichaa wengi na ndani ya upinzani pia kuna wajinga wengi na vichaa wengi.

Lakini pamoja na wajinga hawa na vichaa hawa, miongoni mwao, tuna watu wazuri, wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao kwao ni Tanzania kwanza, vyama baadae. Wazalendo wa aina hii wapo CCM, pia wapo upinzani. Miongoni mwa wazalendo hawa ni Marehemu Deo Filikunjombe, hivyo sasa kupitia Hussein Bashe, naona kama the spirit of Deo Filikunjombe still lives on.

Nimeguswa kupandisha uzi huu baada ya kuguswa na maneno haya ya Hussein Bashe
This is the bottom line!.
Mimi nimemuelewa Bashe!. Wapinzani igeni mazuri ya wanaCCM wazuri wakiwemo wabunge wa CCM!, and Bashe is one of them!. I can see the spirit of Deo Filikunjombe born again through Bashe!.

Kiukweli kabisa ni wabunge wachache wa CCM wanaotanguliza maslahi ya taifa. Wengi wa wabunge wetu hawajui wako bungeni kufanya nini wala hawajui kazi za bunge!, wao wanachojua maadamu wamechaguliwa kupitia CCM, kwa CCM ndio kila kitu, wako pale kwa ajili ya CCM, hivyo hoja yoyote itakayotolewa na upinzani, hata iwe hoja nzuri vipi, wao wataipinga. Huu ni ujinga, CCM inautumia vibaya wingi wake bungeni.

Zitto Kabwe alipotoa hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, miingoni mwa wabunge watatu wa CCM waliomuunga mkono ni Deo Filikunjombe, Nimrod Mkono na Ester Bulaya hadi mimi kumpongeza Bulaya.

Sasa Bashe ametoa muhimu sana kwa maslahi ya Taifa, amejivua u CCM wake na kuvaa utaifa kulitumia Bunge kuusimamia serikali, hata kama serikali yenyewe ni serikali ya chama chake CCM, pale inaposhindwa kutumiza majujumu yake ni taasisi mbili tuu zenye uwezo wa kuiadabisha. Taasisi hizi ni Bunge na Mahakama. WanaCCM majinga na vichaa, watamuona Bashe kama sio mwenzao, na wapinzani majinga na vichaa, watambeza Bashe!. Huu ni ujinga!.

Bashe aungwe mkono na wazalendo wote wenye kulitakia mema taifa hili. Mimi kwa upande wangu niliishalidharau bunge letu siku nyingi.

Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi?
Kumbe miongoni mwa wabunge wa CCM, pia bado tunawazalendo wachache!, wazalendo hawa waungwe mkono kwa dhati na Watanzania wazalendo wote.

Paskali.
 
Mimi nimemuelewa Bashe!. Wapinzani igeni mazuri ya wanaCCM wazuri wakiwemo wabunge wa CCM!, and Bashe is one of them!. I can see the spirit of Deo Filikunjombe born again through Bashe!
Sawa kabisa!!!!!
Na sisi wapinzani tusitake Mh Bashe yaani asale kabisa awe kama mpinzani lazima awe na tahadhari kwahiyo sioni sababu ya Mh Bashe kushambuliwa,.
 
Anachofanya Bashe ni sawa na kumhubiria shetani mwokovu! Bashe anateseka na nafsi yake, dhamira yake kwakuwa ameingia kundi asilofiti.
 
Back
Top Bottom