Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kama UKAWA,wataendelea na ushirikiano walio anzisha hadi ktk uchaguzi ujao 2015,Nina uhakika CCM huo ndio utakuwa mwisho wao.Na hili jambo lina wanyima usingizi CCM kwani wanalijua kabisa kuwa safari Yao ya kufunga virago kutoka magogoni imetimia.