dojonase
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 1,673
- 2,227
Mbon mnamsahau drogbaList yangu ni kama ifuatavyo;
1. Patrick Kluivert
2. Steve Bruce
3. Sergio Ramos
4. Cristiano Ronaldo
5. Nemanja Vidic
6. Pippo Inzaghi
Sijapanga kwa namba. Ila mimi mara nyingi huwa nawapa credit sana mabeki hasa wa kati pindi wanapoenda kupiga vichwa kutokana na mipira ya kona au adhabu ndogo.
Ila kwa washambuliaji huyi Kluivert hana mfano wake.