PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Wapiga kura visiwani Zanzibar leo Oktoba 28, 2025 wanaanza zoezi la kupiga kura katika kile kinachofahamika kuwa ni "kura ya mapema" ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa kuanzia saa moja asubuhi na kufungwa saa 10 jioni na matokeo ya urais yatatangazwa ndani ya saa 72.
Uchaguzi huo unafanyika siku moja kabla ya uchaguzi mkuu wa kesho Oktoba 29, utakaofanyika Tanzania bara na visiwani.
Soma zaidi: INEC yatoa takwimu mpya: Wapiga Kura 37,647,235, vituo vya kupigia Kura 99,895 nchini
Rais wa sasa Hussein Mwinyi, kupitia chama tawala cha mapinduzi, CCM, anakabiliana na makamu wake wa kwanza, Othman Masoud Othman kupitia chama cha upinzani cha ACT Wazalendo. Chama hicho kimekuwa kikipinga kura hiyo ya mapema.
Vituo vya kura ya mapema vitafunguliwa saa moja asubuhi saa za Afrika Mashariki na kufungwa saa 10 jioni na matokeo ya urais yatatangazwa ndani ya saa 72 kwa mujibu wa Tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC.
Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa kuanzia saa moja asubuhi na kufungwa saa 10 jioni na matokeo ya urais yatatangazwa ndani ya saa 72.
Uchaguzi huo unafanyika siku moja kabla ya uchaguzi mkuu wa kesho Oktoba 29, utakaofanyika Tanzania bara na visiwani.
Soma zaidi: INEC yatoa takwimu mpya: Wapiga Kura 37,647,235, vituo vya kupigia Kura 99,895 nchini
Rais wa sasa Hussein Mwinyi, kupitia chama tawala cha mapinduzi, CCM, anakabiliana na makamu wake wa kwanza, Othman Masoud Othman kupitia chama cha upinzani cha ACT Wazalendo. Chama hicho kimekuwa kikipinga kura hiyo ya mapema.
Vituo vya kura ya mapema vitafunguliwa saa moja asubuhi saa za Afrika Mashariki na kufungwa saa 10 jioni na matokeo ya urais yatatangazwa ndani ya saa 72 kwa mujibu wa Tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC.