greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 807
- 1,260
Umechanganya madesa, picha namba moja hapo siyo Coco beach ya Darisalama Tanzania.Wengi wetu tunakaribia kusherekea sikukuu za Pasaka na Eid el Fitr.
Mi binafsi nitaenda kufurahia sikuukuu yangu katika hiyo COCO BEACH.
Je,nawe utaenda wapi...
Yesss,nakubali mkuu, nimeiweka kwasababu ina jina la CoCo Beach.Umechanganya madesa, picha namba moja hapo siyo Coco beach ya Darisalama Tanzania.
Picha mkuuNtakuwa miami
Ya Ilala au?Ntakuwa miami
AmericaYa Ilala au?
So watoto wako utawapeleka wapi...?Sikukuu ni kwa ajili ya watoto
Una Sadness Ni Mbaya ila ni Nzuri kiasi chakeWatu wapo busy na sikukuu mimi sina hata habari
Watu vitu wanavyovichulia kwa umaana mkubwa mimi huwa nachukulia simple sana
Sijui hata kwa nini lakini huwa nahisi kuwa na amani nikiwa peke yangu sehemu tulivu(ghetto)
Nikijichanganya na watu huwa sina amani na furaha
Hilo ndio swali sasaSo watoto wako utawapeleka wapi...?
Baada ya kutoka ibadani,Wengi wetu tunakaribia kusherekea sikukuu za Pasaka na Eid el Fitr.
Mimi binafsi nitaenda kufurahia sikuukuu yangu katika hiyo Coco Beach
Je, nawe utaenda wapi?
nahisi hasara zake ni nyingi sana kuliko faida zakeUna Sadness Ni Mbaya ila ni Nzuri kiasi chake
Miami Iringa au USA?Ntakuwa miami
😄Miami Iringa au USA?
Wewe Sasa ni Msela Wa ghetto na Wala si Kitaa and vice versaWatu wapo busy na sikukuu mimi sina hata habari
Watu vitu wanavyovichulia kwa umaana mkubwa mimi huwa nachukulia simple sana
Sijui hata kwa nini lakini huwa nahisi kuwa na amani nikiwa peke yangu sehemu tulivu(ghetto)
Nikijichanganya na watu huwa sina amani na furaha