wapi tunakosea? turekebishe vipi?

wapi tunakosea? turekebishe vipi?

Hakuna tunapokosea tukumbuke sote ni wa mola na kinachomtokea mtu kilipangwa na muumba siku nyingi pengine hata kabla hajazaliwa. kwa hiyo unapompata mpenzi/mke/mme ukaona ana mapungufu basi ujue wewe ndio una mapungufu au makosa. unachopaswa kufanya ni kumtengeneza huyo mwenzi wako awe vile unavyotaka wewe mfano hajasoma mpeleke shule, hana kazi msaidie kutafuta kazi,mpambe mpatie vipodozi na yeye apendeze, mtoe out aone mambo mazurimnunulie mavazi. kumbuka hakuna mrembo anayemzidi huyo uliyenaye ndio maana uko nae mpendezeshe tu utaona anavyokuwa mrembo wa kweli
 
We husninyo, hilo namba mbili ni gumu sana.... Hivi, kwa mfano, nikija kwako na kukuambia kuwa mimi nataka nikugegede kwa mwaka tu halafu tuachane, unadhani utakubali..??? Hilo gumu kwa almost wanawake wote bana
 
Wapi tunakosea is so complicated to point out.... Maana saa ingine mahusiano yanaweza kuwa na complications na bado wahusika wakashindwa pointing out tatizo ni nini hasa.

Tabia ya sasa ya wengi wa wanawake kwa waume kuogopa kujiachia katika mahusiano kwa sababu mbali mbali (nyingi zikiwa jusifiable) pia ni tatizo. Inakuwa kana kwamba kila mnalofanya ni mashindano kati ya wapenzi hao. Kila kitu kushindana, mtu anaona kumwoshesha mwenzi kuwa anampenda ni weakness, sasa moja ya basis ya survival ya penzi hilo ni mapenzi, tena basi mapenzi ya dhati... Na mapenzi ya dhati hayaongelewi mdomoni tu; yanaenda kwa vitendo ili hata mwenzio aelewe kuwa wampenda. Inapokuwa hutaki kuonyesha mapenzi kinacho baki ni nini?

Pia tusisahau wale ambao wapo kwenye mahusiano kwa sababu zao zaidi ya kuwa na mpenzi huyo; unakuta mwanaume kamfuata mwanake sababu ya kutaka tu kuwa analala nae na hali mwanamke nae pengine kamfuata huyo mwanaume sababu tu kile anachopata kwa huyo mwanaume...

Its not that simple kuelezea. Tumekuwa 'Fake' mno! Its complicated....

Niece Husninyo nashukuru kwa salamu. I hope you are as well as I am. Pamoja Saana.

kweli aunt, watu tunafake sana. tunapenda kuonesha mazuri yetu huku mabaya tukiyaficha kapuni. asante kwa mchango wako.
 
Last edited by a moderator:
kutarajia makubwa kutoka kwa mwenzi wako , ubinafsi na asili ya mwanadamu kutaka zaidi badala ya kutoa zaidi ( leo ukipewa z , kesho unataka c , ukipata c keshokutwa unataka A , tunajisahau kuwa wenzi wetu nao ni wanadamu na tujenge uwezo wa kukubali na kushukuru kwa tulichonacho)

darasa zuri Husninyo
kabisa, yaani mtu akishakuwa na mpenzi anataka shida zake zoote ziishie hapo.
 
Last edited by a moderator:
tatizo ni moja tu wengi wapenzi wetu wa sasa ni second option kwa maana baada ya kushindwa kuwa na wale wa mwazno tulio wapenda kwa dhati kwa sababu mbalimbali!!! as a result yunakuwa na mapenzi nusunusu, na kila anayepita tunamtolea macho as hatujaridjhika na wapenzi tuliokuwa nao sasa

yaani jamani usiombe ukawa second option. khaaa!! ndio maana nasema tusubiri hadi tupate wale tuwapendao. halafu wanaume ndio zenu kutufanya wenzenu masecond optn.
 
yaani jamani usiombe ukawa second option. khaaa!! ndio maana nasema tusubiri hadi tupate wale tuwapendao. halafu wanaume ndio zenu kutufanya wenzenu masecond optn.

Vyote kama chumvi si vya kulamba, vingine shubiri.
 
We husninyo, hilo namba mbili ni gumu sana.... Hivi, kwa mfano, nikija kwako na kukuambia kuwa mimi nataka nikugegede kwa mwaka tu halafu tuachane, unadhani utakubali..??? Hilo gumu kwa almost wanawake wote bana

hahahha, si unasema tu nataka tugegedane kama unanivutia nakubali. lol, ila mahusiano sio kugegedana tu, mwaweza fanya mengi wakati mpo pamoja ila tu nikumuweka aware mtu wako kuwa goti halitapigwa kwa padri wala shehe. lol
 
Hiki kifungu kilinifanya nipigwe kibuti hivi hivi na lazizi wangu kosa kubwa ni kuachia mashuzi usiku yenye harufu kali


haahaaahaaha...
kweli tumetofautiana, pole mkuu
 
hofu ya Mungu imetoweka kwa mwanadamu, kila kitu kimechukuliwa kawaida...
 
sisalimii maana maneno yatakuwa mengi! lol

wapenzi wa mmu, leo naomba tujadili ni wapi tunakosea katika mahusiano. watu wengi wamekuwa hawafurahii mahusiano, wakati wanaume wanatuona wanawake tupo kama mafisi tunajali maslahi zaidi na sie tunawaona wao kama manyani kudandia kila mwanamke. tunakosea wapi? binafsi naona kuna mambo tunakosea katika kuanzisha na kuendeleza mahusiano.

Hapa ni kweli na kwa kuwafahamisha tu ni kwamba tatizo lingine liko hapa

Tabia ya kumtafuta wa kumlaumu tatizo linapotokea bila kujitazama kwa nza wewe ni hasara kuu

Kila mmoja anajiona hana hatia hapo ndipo anashindwa kujifunza ili kuboresha mahusiano yajayo

1. tunakosea katika kuchagua mpenzi sahihi.
ni ukweli ulio wazi kuwa kila mtu ana vigezo vya mpenzi anaependa awe nae. inapotokea mtu amekuwa single muda mrefu hujikuta ameanzisha mahusiano na mtu hata kama hana vigezo alivyokuwa anaviwaza awali. wakati upo kwenye mahusiano sasa antokea mtu mwenye vigezo vyote ulivyovitaka na hapo ndipo usaliti huanza. a nashauri utulie na utampata yule umfikiriae hata kama itakuwa muda mrefu kiasi gani, jitulize na epuka kufanya hili kosa.

Hapa nina mtazamo tofauti na wako

Tatizo kuu hapa ni hivyo "vigezo"

Unakuaje na vigezo kwenye kuchagua mume/mke?

Ninavyojua mimi kuna kazi ambazo zinakuwa na vigezo ili uweze kuipata kwa sababu inahitaji utaalam na uzoefu,mfano udaktari wa binadam ni lazima uwe umeusomea,huwezi kutibu bila kuwa na mafunzo ya udaktari

Sasa kwenye suala la mapenzi unaweka vigezo ili nini?

Nijuavyo mimi ili mtu awe na sifa ya kuwa mume/mke ni vyema[sio lazima] awe anajitambua BASI

Unapoweka vigezo jua kwamba hivyo vigezo unaviweka wewe na huenda hakuna mtu wa namna hiyo

Kwanza vigezo ni nini?


2.kosa katika hatua ya awali kabisa. wengi huwa hatujadili aina gani ya uhusiano tunaoutaka. wakati mwingine anafikiria mambo ya "mpaka kifo kitutenganishe" kumbe mwenza wake anafikiria kula bata tu. ni vizuri kujadili mapema kuhusu aina ya mahusiano yenu.

Haya nayo ni matatizo mengine

Unajua tatizo linalotukabili wengi ni maradhi ya kutamani kupendwa

Wengi hatukupewa upendo tangu utoutoni na hatujafundishwa upendo ni nini,hivyo tunajikuta tuna njaa ya kupendwa sana

Sasa tunapokuwa tunakuwa tunasaka sana watu wa kutupenda ili wazibe pengo lililoachwa na wazazi wetu

Hapa ndipo tunapoingia mkenge

Unakutana na mtu unamuona kabisa hana muda na kujadili ndoa na wewe achilia mbali kuoana,kwa hofu ya kupoteza kupendwa unaogopa kumuuliza,unajikuta muda umeenda bila kuwa na "fyucha" yoyote

Hovyo sana sisi!

3. tunakosea tunapotaka wenzi ambao wapo perfect katika kila kitu wakati tunajua hakuna mkamilfu. unapokuwa katika mahusiano ni vizuri kuyakubali na kuyavumilia mapungufu ya mwenzi wako badala ya kufikiria kumbadilisha kuendana na unavyotaka awe maana ni ngumu mno..

Safi sana hii

Hii ningependa wanawake waizingatie sana maana wanamatatizo sana eneo hili!


4.tunaposhindwa kuwa na muda na wapenzi wetu pia tunakosea.si ajabu kuona mtu anaspend muda mwingi na marafiki kuliko mpenzi wake ambae ni mtu wake wa karibu zaidi. waweza kuona ni kawaida lakini kadri tunavyojiweka mbali na wenzi wetu tunazidi kuchujisha penzi.

Hapa kuna makundi mawili ya matatizo yanayohusiana na hili

Kundi la kwanza ni lile la mahusiano kabla ya ndoa
Hapa tatizo hili huwa sio kubwa sana
Hapa huwa muda mwingi wapenzi huwa wanakuwa pamoja kwa kuwa hapa ndipo wakati wa upofu wa "mapenzi"
Hapa watu hushindwa kabisa kukaguana!

Kundi la pili ni lile la wanandoa
Hap ndipo tatizo hili lipo kwa kiasi kikubwa sana hasa watoto wanapozaliwa
Mama anakuwa bize na watoto kuwaosha,kunyonyesha n.k
Baba nae majukumu yanaongezeka hivyo anakuwa anafanya kazi kwa kiwango kikubwa sana
Matokeo yake ni kuchokana na kulalamikiana kuwa mmoja hamjali mwenzake
Nyumba ndogo hutafutwa sana kipindi hiki!


hayo ni baadhi ya tunayoyakosea, nakaribisha wana mmu tujadili wapi pengine tunakosea kwa pande zote mbili ke na me.

Usijali umefanya kazi nzuri

ushauri wa bure:
ruhusu moyo wako kupenda bila kujali umetendwa mara ngapi maana katika kila mahusiano unayoumizwa ni changamoto ya kukufanya uwe imara katika mahusiano yako yajayo.

Hapa siongezi neno!!!!!!!!!
 
hofu ya Mungu imetoweka kwa mwanadamu, kila kitu kimechukuliwa kawaida...


Hatutakiwi tumuogope Mungu

Tunatakiwa tumjue ili tuwe nae karibu

Hofu ni tabia ya shetani!!!!!
 
yaani jamani usiombe ukawa second option. khaaa!! ndio maana nasema tusubiri hadi tupate wale tuwapendao. halafu wanaume ndio zenu kutufanya wenzenu masecond optn.
alafu kibaya second option huwa wanajua kupenda na kung`anga`nia mpk unaona keroo saa nyingine!!!
 
hahahha, si unasema tu nataka tugegedane kama unanivutia nakubali. lol, ila mahusiano sio kugegedana tu, mwaweza fanya mengi wakati mpo pamoja ila tu nikumuweka aware mtu wako kuwa goti halitapigwa kwa padri wala shehe. lol


mimi nashanga wanaume wanaodanganya kwa kuona hili haliwezekani , sijui labda mimi ninaishi kwenye ulimwengu wa tofauti.........
 
Back
Top Bottom