wapi tunakosea? turekebishe vipi?

wapi tunakosea? turekebishe vipi?

Hapo ndio tunapokosea, hata kumbadilisha mtu inakuwa ngumu
Mmoja akiwa black, angalau mwenzie awe dark grey

umeona eeeh kuna mtu mwingine chemistry yenu inamatch kitandani na moyoni tu huko kwingine hakuna kwako red yeye ni black whiye ni green yaani ......bora tu upige kimya mshare kilichowezekana period!
 
ujue tatitop watu sio wavumilivu ....hata mbuyu ulianza kama mchicha..sasa sisi tunaanza tu kuwa wapenzi hata kabla ya kujuana vema...sasa katikati unajikuta upo na bomu ambalo dakika za kulipuka ndo zinakaribia....na pa kukimbilia huna,,unabaki hapo unachanika vipandevipande hufai tena...
mi naona kabla ya kuingia kwenye mahusiano tuwe at least marafiki wa kawaida tusomane...hii itasaidia maana wengine tunatofautiana saaaaaaana.....
mambo ya kudandia daladala ya mbezi mwenge wakati ulikuwa unasubiri kwenda kimara tuache...daladala ni nyingi sana mwenge ata za kimara zipo so tusubiri bila kuchoka
nawasilisha

sure, kukurupuka kubaya sana. halafu hii ipo kwa dadaz. sijui vile tunaona umri unaenda!
 
3. tunakosea tunapotaka wenzi ambao wapo perfect katika kila kitu wakati tunajua hakuna mkamilfu. unapokuwa katika mahusiano ni vizuri kuyakubali na kuyavumilia mapungufu ya mwenzi wako badala ya kufikiria kumbadilisha kuendana na unavyotaka awe maana ni ngumu mno..

Hiki kifungu kilinifanya nipigwe kibuti hivi hivi na lazizi wangu kosa kubwa ni kuachia mashuzi usiku yenye harufu kali
 
Jamani mapenzi ni matamu acheni mchezo, unahisi kama unaishi peponi si peponi, kama hutakaa ufe vile.

Ila cha muhimu ni kuchagua mwenza mnayeona mambo katika mwanga mmoja, na si kwamba hamgombani. Mnagombana hadi mnarushiana mashati nje, lakini raha mnayopena inakuwa kubwa kuliko maumivu mnayopeana.

Kama watu mna mitizamo tofauti saaana ya maisha hata kubadilishana inashindikana, kwanza inatia uvivu.
Unamwambia mtu A wakati yeye yuko Q, haelewi haelewi, bora ujikalie kimya tu.

uchaguzi wa mwenza naona unahusu sana,yaani unaweza ukawa na mtu hakufanyii makubwa ila uwepo wake tu watosha kukupa furaha ya maisha.
 
nakubaliana nawe 1oo%
ni viziri kujua mipaka ya mapenzi yenu kama ni kula bata au till death do us apart lasivyo nikuchezeana hisia,
pia kukubaliana na mapungufu ya mwenzio yeyote yatakayojitokeza safari ya mapenzi ina chamgamoto nyingi yaitaji uvumilizu busara na akili ilokomaa

exactly, ingawa wengi hawalipendi hili... ukiambiwa twala bata inasaidia usijiachie sana. lol
 
tatizo hamuwajibiki hadi mpigwe mizinga, kuwa na moyo wa kutoa uone kama utapigwa hiyo mizinga. lol

Tatizo jingine inakula upande mmoja tu yaani ni Win Lose situation mwanamke ndiye anae faidi zaidi
 
kumbadilisha mtu uliemkuta na meno yake 32 net na ya ziada juu ni ngumu sana my dear...
besides sio lazima awe unavotaka saaaana.....

kweli.....ni vizuri kujiangalia na maisha yako pia...

Kinacho waponza wadadaz na mabebies ni kuiga maisha unaona sweetlady anaishi vile na jamaa ake nawe unasaka njemba kama wa SL ili nawe uishi kama yeye hii imewacost sana wadada wengine mmefikia mpaka kulazimisha ndoa muolewe matokeo yake ndoa hazidumu migogoro kila siku haishi
 
Last edited by a moderator:
Jamani kuhongwa kipaji

Kuna wanamme wanajua kuhonga hadi mhongwaji unaumwa, huombi hata senti ila anakuingiza kwenye payroll moja kwa moja. Uwe una shida ama huna shida fungu lako liko pale pale.

Kupiga mizinga noma jamani inakera kha!
 
Jamani kuhongwa kipaji

Kuna wanamme wanajua kuhonga hadi mhongwaji unaumwa, huombi hata senti ila anakuingiza kwenye payroll moja kwa moja. Uwe una shida ama huna shida fungu lako liko pale pale.

Mi naona kuhonga mwanamke ni rushwa kama rushwa nyingine, unamhonga ili iweje aaah upate kei sasa jamaa akichomeka na kumaliza fasta kwa nini mwanamke unalalamika wakati jamaa amekuhonga na amesha kata kiu yake yaani kalipia huduma
 
Jamani kuhongwa kipaji

Kuna wanamme wanajua kuhonga hadi mhongwaji unaumwa, huombi hata senti ila anakuingiza kwenye payroll moja kwa moja. Uwe una shida ama huna shida fungu lako liko pale pale.

hahahhahha, ukimpata wa hivyo mbona unamng'ang'ania mwanzo mwisho. wa siku hizi sijui ndio majukumu mengi hadi ukumbukwe ushazeeka
 
2.kosa katika hatua ya awali kabisa. wengi huwa hatujadili aina gani ya uhusiano tunaoutaka. wakati mwingine anafikiria mambo ya "mpaka kifo kitutenganishe" kumbe mwenza wake anafikiria kula bata tu. ni vizuri kujadili mapema kuhusu aina ya mahusiano yenu.

Swali kubwa la kujihoji unapoingia kwenye mahusiano ni "Nini matarajio yako/expectation zako kutoka kwenye uhusiano?" Kama expectation zenu haziendani au haziko sawa hapo lazima mtayumba mwisho wa siku.
 
Mi naona kuhonga mwanamke ni rushwa kama rushwa nyingine, unamhonga ili iweje aaah upate kei sasa jamaa akichomeka na kumaliza fasta kwa nini mwanamke unalalamika wakati jamaa amekuhonga na amesha kata kiu yake yaani kalipia huduma

basi bora tuseme kumuhudumia mpenzi wako maana neno kuhonga limekaa vibaya.
 
Back
Top Bottom