Mwana Ukoo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 252
- 422
Wakuu nina shida sana na hii supu Kwani muda kweli sijaitumia nilisikia samaki samaki wanauza local food ila bado nilikosa mwenye kujua anielekeze wapi ntapata supu ya kenge au mamba kwa hapa Dar?
Miss Natafuta hapana sio waganga ni mazoea tu baadhi ya vyakula ambavyo nilitumia kipindi nipo Ughaibuni sasa navimiss kweliwaganga hawa ? mimi niliambiwa nipeleke mayai ya kuku mjane yaani kuku ambae mayai yake ni ya jogoo aliekufa!
Mojawapo kati ya hizoSupu ya kenge au mamba..!!
njoo nikupe supu yangu maana nafanana na kengeMiss Natafuta hapana sio waganga ni mazoea tu baadhi ya vyakula ambavyo nilitumia kipindi nipo Ughaibuni sasa navimiss kweli
wee usinibusu tenaSijawahi kunywa supu ya kenge, ladha yake ipo vipi mkuu. Supu ya mbwa nimeshakunywa sana
kenge wa kibongo wanaoshinda kwenye maji ya sumu hawa wa dar unaweza kufa mkuuChines restaurant yeyote utapata kama hawana watakuelekezza
wee usinibusu tena
yesu pekee ndiye mwokozi wako achana na wagangawaganga hawa ? mimi niliambiwa nipeleke mayai ya kuku mjane yaani kuku ambae mayai yake ni ya jogoo aliekufa!
Ni safi sana ina toa uchovu mkuuSijawahi kunywa supu ya kenge, ladha yake ipo vipi mkuu. Supu ya mbwa nimeshakunywa sana
ahahaaaa Yesu tena .yesu pekee ndiye mwokozi wako achana na waganga
ahahaaaa au yatimaMimi nataka kenge mjane
Wakuu nina shida sana na hii supu Kwani muda kweli sijaitumia nilisikia samaki samaki wanauza local food ila bado nilikosa mwenye kujua anielekeze wapi ntapata supu ya kenge au mamba kwa hapa Dar?
Ulipeleka??waganga hawa ? mimi niliambiwa nipeleke mayai ya kuku mjane yaani kuku ambae mayai yake ni ya jogoo aliekufa!