Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Chemsha maji kwenye sufuria kubwa mpaka yatokote,kisha ipua hiyo sufuria yako,chukua blanketi zito jifunike nalo na hayo maji yawe yanatoa ule mvuke uvuje jasho la kutosha,yaani kiufupi jifukize, utakua umepata unachokitaka bila ghalama yoyote
 
Chemsha maji kwenye sufuria kubwa mpaka yatokote,kisha ipua hiyo sufuria yako,chukua blanketi zito jifunike nalo na hayo maji yawe yanatoa ule mvuke uvuje jasho la kutosha,yaani kiufupi jifukize, utakua umepata unachokitaka bila ghalama yoyote
Nataka niende na demu wangu
 
Arusha is the first class multi culture city! Huwezi ulizia kitu ndogo hivyo.

Hiyo sio jiji la wavuvi, ni among the top tourism destination in the World alafu imagine unaulizia sauna thing

Haya jiji la wavuvi nimekaa paleee
 
Arusha is the first class multi culture city! Huwezi ulizia kitu ndogo hivyo.

Hiyo sio jiji la wavuvi, ni among the top tourism destination in the World alafu imagine unaulizia sauna thing

Haya jiji la wavuvi nimekaa paleee
Vijana wa ugoro na ushoga kama nyie akili haziko poa jibu ulichoulizwa


USSR
 
Back
Top Bottom