Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Vyumba vyao viko private?? Yaan kwy rum tunaeza ingia wawili tu?
Kwenye sauna huwezi kunyanduana. Joto la mle ndani linakufanya upumue kwa taabu. Labda kwenye steam room kunakuwa na joto la kadiri na mvuke kwa wingi.
 
Room temperature ni zaidi ya nyuzi joto 40 unapata wapi ujasiri wa kutaka muwe wawili tu,mood inakata huwezi fanya chochote meku
 
Ubezea
Kuna SPA moja iko pale near to Gran Melia Hotel
Panaitwa Elndugence kama sijakosea jina
Wanayo Sauna ya umeme kwa 30k ‘30mins
 
Back
Top Bottom