Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
Hana taka hata moja mwiliniWifi angu alienda ya Gran Melia
Aloooo alitoka ametakata balaaa
Hana taka hata moja mwiliniWifi angu alienda ya Gran Melia
Aloooo alitoka ametakata balaaa
YaaanHana taka hata moja mwilini
Naona ameshaelekezwa hapo juu😀Mwenza muelekeze jirani
Ina uhusiano gani na sauna?Unataka yenye malaya wenye matako makubwa?
Kumbe ndio ina bei hivyo au location ya hiyo sehemu me kwakweli na ubahili wangu acha vingine vinipiteYaaan
Ngozi inawaka na kuteleza
Na mezani wakaacha almost laki 5
Nikamwambia mi badooo aiseee
Labda nijaribu siku nakaribia kuwa bi harusindio nijispoil hivyo
Hahahha acha akaenjoyNaona ameshaelekezwa hapo juu![]()
Labda sababu ni Hotel ya nyota 5Kumbe ndio ina bei hivyo au location ya hiyo sehemu me kwakweli na ubahili wangu acha vingine vinipite
Hehe labdaLabda sababu ni Hotel ya nyota 5
Kama unaenda kuolewa jamani laki 5 kujispoil uwake sio mbaya
Asipo uliza atajuaje?Arusha is the first class multi culture city! Huwezi ulizia kitu ndogo hivyo.
Hiyo sio jiji la wavuvi, ni among the top tourism destination in the World alafu imagine unaulizia sauna thing
Haya jiji la wavuvi nimekaa paleee![]()
Na pili piliHeh!! Hujawahi kula sauna![]()
Haina bei kihivyo mwenza. Labda huko kwenye hiyo hotel.Kumbe ndio ina bei hivyo au location ya hiyo sehemu me kwakweli na ubahili wangu acha vingine vinipite
hotel zote kubwa hapo mjini unapata huduma bila shida; Mt meru, Four Point by Sheraton, Kibo palace, Gran melia nkWakuu umofia kwenu ?? Naulizia wapi nitaweza pata sauna iliyo private maeneo ya Arusha..
Haina bei kihivyo mwenza. Labda huko kwenye hiyo hotel.
Pesa ndogo tu nikija nakupeleka, unikumbushe.

Bora ukanitoe ushamba mwenza ukija nakusubiri kuna siku niliona wakina mane wanasifia hotel nefeland sijui ya pale kagera wana hiyo hudumaYes hapo napasikia watu wanasema ipo nzuri. Kuna shoga yangu alinitoaga ushamba sikuwa naijua😅😅Bora ukanitoe ushamba mwenza ukija nakusubiri kuna siku niliona wakina mane wanasifia hotel nefeland sijui ya pale kagera wana hiyo huduma
Hapo patanifaa...maana nataka nikimaliza sauna..nianze kumla humo humo ndanKabisa, uta enjoy
Dragon massage ni 🔥🔥🔥🔥🔥Arusha Dragon Massage and parlour Sakina. Wacheki instagram wana page yao
Jiji la wavuvi kwa taarifa yako ndio jiji la pili kwa uchumi baada ya Dar. Najua unajua.Arusha is the first class multi culture city! Huwezi ulizia kitu ndogo hivyo.
Hiyo sio jiji la wavuvi, ni among the top tourism destination in the World alafu imagine unaulizia sauna thing
Haya jiji la wavuvi nimekaa paleee![]()
Pale Lemon SPA nimepita mwisho mchana huuNenda uzunguni Kama sijakosea Kuna Lemon spa karibu na Breweries karibu na ofisi ya kata huwa napita hapo japo sijawahi ingia lakini nazani wanatoa huduma hiyo