Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Arusha is the first class multi culture city! Huwezi ulizia kitu ndogo hivyo.

Hiyo sio jiji la wavuvi, ni among the top tourism destination in the World alafu imagine unaulizia sauna thing

Haya jiji la wavuvi nimekaa paleee
Asipo uliza atajuaje?
 
Bora ukanitoe ushamba mwenza ukija nakusubiri kuna siku niliona wakina mane wanasifia hotel nefeland sijui ya pale kagera wana hiyo huduma
Yes hapo napasikia watu wanasema ipo nzuri. Kuna shoga yangu alinitoaga ushamba sikuwa naijua😅😅
Tutaenda
 
Nenda uzunguni Kama sijakosea Kuna Lemon spa karibu na Breweries karibu na ofisi ya kata huwa napita hapo japo sijawahi ingia lakini nazani wanatoa huduma hiyo
 
Arusha is the first class multi culture city! Huwezi ulizia kitu ndogo hivyo.

Hiyo sio jiji la wavuvi, ni among the top tourism destination in the World alafu imagine unaulizia sauna thing

Haya jiji la wavuvi nimekaa paleee
Jiji la wavuvi kwa taarifa yako ndio jiji la pili kwa uchumi baada ya Dar. Najua unajua.
 
Back
Top Bottom