- Thread starter
- #41
Nataka watufungie ndani wawili tu..mimi na huyo mwanamkeUsiende na mke wako utapata wivu![]()
Nataka watufungie ndani wawili tu..mimi na huyo mwanamkeUsiende na mke wako utapata wivu![]()
Nimeona Sauna 1hr for 30k 😂😂Arusha Dragon Massage and parlour Sakina. Wacheki instagram wana page yao
Yes hapo napasikia watu wanasema ipo nzuri. Kuna shoga yangu alinitoaga ushamba sikuwa naijua
Tutaenda


Na me nakusubiri ukanitoe ushamba sijawahi ujue hii Dec hauji birthday yangu mwezi huu mwishoni huko ungekuja tungeonana kwenye birthday dinnerIko ndan ya grand meliaTulia spa nenda pale melia utapata service zore very nice.
Nilikuwa huko last week.Na me nakusubiri ukanitoe ushamba sijawahi ujue hii Dec hauji birthday yangu mwezi huu mwishoni huko ungekuja tungeonana kwenye birthday dinner
Nimeona huduma ya jaccuz sijui linafanyajeNataka watufungie ndani wawili tu..mimi na huyo mwanamke
Thanks mwenzaNilikuwa huko last week.
Happy birthday in advance![]()

ukaja kimyakimya sawa bwanahPako gran melia..ni ndani ya granmelia?Tulia spa nenda pale melia utapata service zore very nice.
Ilikuwa kwa muda mfupi sana my dear, sikupata muda kabisa. Nisamehe bureThanks mwenzaukaja kimyakimya sawa bwanah
Usijali kipenzi changuIlikuwa kwa muda mfupi sana my dear, sikupata muda kabisa. Nisamehe bure
Pakojee...naeza ingia na demu wanguNenda Palace Hotel (Top roof),hutojuta.
YesUnataka yenye malaya wenye matako makubwa?
Pesa yako tu KakaPakojee...naeza ingia na demu wangu
Dragon massage ni 🔥🔥🔥🔥🔥
ThreesomeBado sijaona mtu Alie weza kuelezea kwa ufasaha hiyo sauna n Nini hasa?
Sauna ni kinder of a steam roomBado sijaona mtu Alie weza kuelezea kwa ufasaha hiyo sauna n Nini hasa?
Yes , Ingia ndani ya melia utakuta parking area unaelekea mbele kule gym humo ndani ya gym ndio ipo hiyo tulia spa wanayosauna safi sana hata massage yake . Utakuta wameandika au Ingia hotelini ulizia au hapo nje kabisa Kwa security .Iko ndan ya grand melia
Ni sh ngapi??Yes , Ingia ndani ya melia utakuta parking area unaelekea mbele kule gym humo ndani ya gym ndio ipo hiyo tulia spa wanayosauna safi sana hata massage yake . Utakuta wameandika au Ingia hotelini ulizia au hapo nje kabisa Kwa security .
Ni tamu sana tena ukila na three pieceHata mm nataka kujua it sounds like msosi flan hivi amezing
USSR