Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Wapi ntapata Sauna Jijini Arusha?

Yes hapo napasikia watu wanasema ipo nzuri. Kuna shoga yangu alinitoaga ushamba sikuwa naijua
Tutaenda
Na me nakusubiri ukanitoe ushamba sijawahi ujue hii Dec hauji birthday yangu mwezi huu mwishoni huko ungekuja tungeonana kwenye birthday dinner
 
Na me nakusubiri ukanitoe ushamba sijawahi ujue hii Dec hauji birthday yangu mwezi huu mwishoni huko ungekuja tungeonana kwenye birthday dinner
Nilikuwa huko last week.
Happy birthday in advance 😀
 
Bado sijaona mtu Alie weza kuelezea kwa ufasaha hiyo sauna n Nini hasa?
 
Bado sijaona mtu Alie weza kuelezea kwa ufasaha hiyo sauna n Nini hasa?
Sauna ni kinder of a steam room

Simply ni chumba cha kujifukiza na kuogeshwa maji motooo…

Si unajua ukijifukiza unasweat ? Taka zinatoka?

Sasa Sauna inafanyika kwa mwili mzima
 
Iko ndan ya grand melia
Yes , Ingia ndani ya melia utakuta parking area unaelekea mbele kule gym humo ndani ya gym ndio ipo hiyo tulia spa wanayosauna safi sana hata massage yake . Utakuta wameandika au Ingia hotelini ulizia au hapo nje kabisa Kwa security .
 
Yes , Ingia ndani ya melia utakuta parking area unaelekea mbele kule gym humo ndani ya gym ndio ipo hiyo tulia spa wanayosauna safi sana hata massage yake . Utakuta wameandika au Ingia hotelini ulizia au hapo nje kabisa Kwa security .
Ni sh ngapi??
 
Back
Top Bottom