adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,698
Bei ya suzukiNi sh ngapi??
Bei ya suzukiNi sh ngapi??
Bei ya suzna
Hiyo ni Steam. Ndiyo yenye mvuke.Sauna ni kinder of a steam room
Simply ni chumba cha kujifukiza na kuogeshwa maji motooo…
Si unajua ukijifukiza unasweat ? Taka zinatoka?
Sasa Sauna inafanyika kwa mwili mzima
OkHiyo ni Steam. Ndiyo yenye mvuke.
Sauna ni aidha ya mawe au Joto la maji.
Nilitaka ugomvi kidogo na Wavuvi CityAsipo uliza atajuaje?

Vyumba vyao ni private...yaan kwenye room tunaeza tukawa wawili tu?Pesa yako tu Kaka
Palace HotelWakuu umofia kwenu ?? Naulizia wapi nitaweza pata sauna iliyo private maeneo ya Arusha..
Na mwisho wa mwaka si ndio huu
Afu 30/50 sio kitu ya kujibahiliaNa mwisho wa mwaka si ndio huu
Wacha tuzikusanye twende tukazitumie huko shogaa
Hapana kwakweliAfu 30/50 sio kitu ya kujibahilia
😂😂😂😂 kabisaaaaHapana kwakweli
Itakua haina maana ya kufanya kazi sasa
Vyumba vyao viko private?? Yaan kwy rum tunaeza ingia wawili tu?Palace Hotel
YesVyumba vyao viko private?? Yaan kwy rum tunaeza ingia wawili tu?
Okay sawa...ni kama sh ngp
Nashukur nduguSauna ni kinder of a steam room
Simply ni chumba cha kujifukiza na kuogeshwa maji motooo…
Si unajua ukijifukiza unasweat ? Taka zinatoka?
Sasa Sauna inafanyika kwa mwili mzima
Unataka umnyandue kwenye sauna eeehOkay asante sana. Wanaruhusu watu kuingia wawili..mwanaume na mwanamke?
Bei gani ili tujipange na kingwendu aendePole NAONA wengi hawaja kuelewa unataka nini ?
Nenda njiro mtaa wa PPF UKITOKEA BRABARA YA KIJENGE UKIFIKA KWENYE RELI PINDA KUSHOTO.
PANAITWA PLAYS BEI ZAO NI RAFIKI SANA UKILIPIA SAUNA, GYM NA SWIMMING POOL UTATUMIA BURE
Wana private facilities..yaan naeza ingia na demi wanguPole NAONA wengi hawaja kuelewa unataka nini ?
Nenda njiro mtaa wa PPF UKITOKEA BRABARA YA KIJENGE UKIFIKA KWENYE RELI PINDA KUSHOTO.
PANAITWA PLAYS BEI ZAO NI RAFIKI SANA UKILIPIA SAUNA, GYM NA SWIMMING POOL UTATUMIA BURE
Yes , unaingia ndani ya geiti ukiwa unataka Kuelekea reception Kwa juu Kuna parking , park gari hapo halafu endelea kupanda Kwa mguu utakuta gym na ndani Kuna reception ila zimeandikwa kabisa tulia spa halafu gym watakuelekeza au hapo geitini kabla hujaingia ulizia watakupa direction unapata huduma zao ni nzuri sana .Iko ndan ya grand melia