Wapi ntapata machine ya kukamua mafuta ya alizeti

Wapi ntapata machine ya kukamua mafuta ya alizeti

MINA

Member
Joined
Feb 22, 2011
Posts
7
Reaction score
2
Habari wana JF nataka machine ya kukamua mafuta ya alizeti for small scale industry nasikia mashine nzuri zinatoka india sababu zina uwezo wa kukamua mafuta kwa 100% je kuna watu wanaziuza hapa nchini?au km ntapata link ya hiyo co ya india!nimejaribu link ya china alibaba but cjui km ni trusted site ya kuagiza na cn uhakika na quality ya mashine zao.
 
Habari wana JF nataka machine ya kukamua mafuta ya alizeti for small scale industry nasikia mashine nzuri zinatoka india sababu zina uwezo wa kukamua mafuta kwa 100% je kuna watu wanaziuza hapa nchini?au km ntapata link ya hiyo co ya india!nimejaribu link ya china alibaba but cjui km ni trusted site ya kuagiza na cn uhakika na quality ya mashine zao.
Waone SIDO au VETA,machine zao ni mkataba.
 
Kama uko dsm zunguka maeneo yakisutu waulize hao hao wahindi mi kuna mahali nilishawahi ziona huko kisutu
 
MINA,

Kama unahitaji kuagiza kutoka China wasiliana na nderumo26@yahoo.com, ni Food Technologist wa Kitanzania aliyeko China kwa shughuli zinazoendana na hitaji lako.

Kwa India hawa www.troikaindia.com wana machine nzuri (Residual Capacity between 7-22%) lakini kwa seed production tuliyonayo, idle capacity itakuwa kubwa. Hawa Troika kwa Tanzania tayari wameuza vinu vya Double Refinery kwa Mount Meru Oils

Hili swali limewahi kuulizwa hapa mwaka 2010. MINA fuatilia uzi huu https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/53704-tujadili-alizeti-kama-zao-la-kibiashara.html

....Je mashine za kukamulia mafuta ya alizeti zinapatikana wapi hapa nchini? Au ni mpaka kuagiza nje ya nchi? Na zinahitajika shilingi ngapi ili kununu mashine moja?

Mimi nina shamba pia ambalo nina mpango wa kuanza kulima alizeti hizi karibuni. Najua soko la mafuta ya alizeti lipo kote kwenye ukanda huu wa Afrika ya Mashariki na kati!
 
Kama unataka za india nenda india street utapata.Lakini kwa uzoefu wangu za kichina naona ndo nzuri zaidi kuanzia no 95 na 118.Nilizozifanyia uchinguzi nimegundua za kichina ziko poa kuliko za india
 
Ericus kilimo kwanza siku hizi mpango mzima ngoja nami niwacheck hao troika
 
Last edited by a moderator:
Kama unataka za india nenda india street utapata.Lakini kwa uzoefu wangu za kichina naona ndo nzuri zaidi kuanzia no 95 na 118.Nilizozifanyia uchinguzi nimegundua za kichina ziko poa kuliko za india

Mkuu Mzinga hizi za kichina wapi naweza nikazipata?
 
Last edited by a moderator:
Naona humu watu wanazungumzia Engine, Ubora wa mashine ya kukamua alzeti ni kile kinu chake wakuu, ishu ya mashine hata ya kusaga mahindi inaweza zungusha kile kinu,

Mashine za India ni bora ila kama unataka ya kukamua kwa 100% unahitaji mtaji ulio enda shule, na ni ghali sana, make kwa kumua 100% unahitaji mitambo mikubwa kanisa na yenye kula umeme wa uhakika, Mfano Babati nzima inaviwanda zaidi ya 200 lakini hakuna hata kimoja chenye uwezo wa kukamua kwa 100% bado hawajawa na mitaji ya kununua mashine kubwa kabisa,

Kwa arusha kuna muhindi mmoja anaitwa Mount Meru mela yeye ndo anamitambo ya KUWEZA KUKAMUA MASHUDU YA LAZETI NA KUPATA MAFUTA MENGINE, yeye hununua mashudu ya babati na Singina na kuyakamua kwa mara nyingine na kupata Mafuta,
 
Ericus kilimo kwanza siku hizi mpango mzima ngoja nami niwacheck hao troika

Mende0,

Hilo halina ubishi wala halihitaji maelezo.

Wajua kwa upande wa Alizeti na Mafuta, Tanzania tunazalisha 40% tu ya mahitaji yetu ambayo ni sawa na 35,000MT. Hii haitoshi hata mahitaji yetu ya miezi miwili! Kwa mwezi Tanzania tunatumia 18,000MT na ili kufidia mahitaji tunaagiza zaidi ya 200,000MT kwa mwaka!

Mafuta ya kula kwa miongo mingi yamechukua nafasi ya pili katika vitu vinavyoongeza nakisi ya fedha za kigeni Tanzania. Kama tukijidhatiti kwenye hili zao si kama tutaweza kuzalisha ajira, kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja tu, bali tutapunguza nakisi (Deficit) ya mizania ya malipo (BoP-Balance of Payments) na kuongeza fedha za kigeni kwani hata sasa huwezi amini; kwenye hizo 40% tunazozalisha, double refined oil yote inakwenda Holland. Hii ni kuonyesha uzuri wa mafuta yetu na mahitaji katika ulimwengu.

Kama kweli una nia kwenye hii sekta tuzidi kuwasiliana
 
Mkuu Ericus hawa wahindi wana mashine kubwa na ndogo?
 
Last edited by a moderator:
Kuwa Mzalendo na Mpenda vitu vya ndani ya nchi yako waone VETA, SIDO au SUMA JKT uchangie kukuwa kwa viwanda vya ndani.
 
Kuwa Mzalendo na Mpenda vitu vya ndani ya nchi yako waone VETA, SIDO au SUMA JKT uchangie kukuwa kwa viwanda vya ndani.

Hata nami ninasikitika ninaposikia watu wana-promote vitu vya nje ndani ya nchi yetu, yaani tunawasaidia hadi marketing. Hata kama vya kwetu havina ubora unaokidhi, tunaponunua na kutumia inakuwa ndio njia pekee ya kugundua madhaifu na kuwapa fursa watenegenezaji wa kuboresha mashine hizo, TUPENDE BIDHAA ZA KWETU, hata hawa tunaowaona mashine zao zina ubora hawakuanza na ubora.
 
Hata nami ninasikitika ninaposikia watu wana-promote vitu vya nje ndani ya nchi yetu, yaani tunawasaidia hadi marketing. Hata kama vya kwetu havina ubora unaokidhi, tunaponunua na kutumia inakuwa ndio njia pekee ya kugundua madhaifu na kuwapa fursa watenegenezaji wa kuboresha mashine hizo, TUPENDE BIDHAA ZA KWETU, hata hawa tunaowaona mashine zao zina ubora hawakuanza na ubora.

Good idea but only applicable when the terms and conditions are almost at par between all aligned on the supply side. Simple qn, who is ready to waste 40% of the raw materials where s/he has an option of earning 80-98%? Is the health conscious market ready to consume hazardous or oil with high proportional of cholesterol? It gets back to you Mgombezi as a consumer, in addition to all above are you really choosing Tz products among the list of global products which are cheaper and of higher quality? Tuwe wakweli........
 
Nenda UDSM -Idara ya BICO huko kuna mitambo ya kila aina una chagua kulingana na mahitaji yako wanakutengenzea.
 
Mende0,

Hilo halina ubishi wala halihitaji maelezo.

Wajua kwa upande wa Alizeti na Mafuta, Tanzania tunazalisha 40% tu ya mahitaji yetu ambayo ni sawa na 35,000MT. Hii haitoshi hata mahitaji yetu ya miezi miwili! Kwa mwezi Tanzania tunatumia 18,000MT na ili kufidia mahitaji tunaagiza zaidi ya 200,000MT kwa mwaka!

Mafuta ya kula kwa miongo mingi yamechukua nafasi ya pili katika vitu vinavyoongeza nakisi ya fedha za kigeni Tanzania. Kama tukijidhatiti kwenye hili zao si kama tutaweza kuzalisha ajira, kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja tu, bali tutapunguza nakisi (Deficit) ya mizania ya malipo (BoP-Balance of Payments) na kuongeza fedha za kigeni kwani hata sasa huwezi amini; kwenye hizo 40% tunazozalisha, double refined oil yote inakwenda Holland. Hii ni kuonyesha uzuri wa mafuta yetu na mahitaji katika ulimwengu.

Kama kweli una nia kwenye hii sekta tuzidi kuwasiliana

kaka kwema? nimesoma post yako nimipenda
naweza pata namba yako tuwasiliane yangu ni 0714020714 nahitaji mashine
 
Back
Top Bottom