Wapi nitapata mpenzi mzungu?

Wapi nitapata mpenzi mzungu?

Nina marafiki zangu watasha kama 20 wanatama mademu black ila issue Dada zetu nyie hamjielewi, kuna mmoja nilimpigia pande alichofanya mungu ndio anajua , Pumbavu
 
Uwe tayari kuhesabiwa chips kama dada Zenat alivyotueleza
 
Nina marafiki zangu watasha kama 20 wanatama mademu black ila issue Dada zetu nyie hamjielewi, kuna mmoja nilimpigia pande alichofanya mungu ndio anajua , Pumbavu
Mmmmmh napita
 
Nina marafiki zangu watasha kama 20 wanatama mademu black ila issue Dada zetu nyie hamjielewi, kuna mmoja nilimpigia pande alichofanya mungu ndio anajua , Pumbavu
Nipeleke Mkuu sitaku let down
 
walifanyaje mkuu
Maslay Queen Pumbavu kabisa sitaki hata kuwasikia manina yani hii thread imenitibua Kinyama. Kama mwingine ni rafiki Yangu msouth ni chotara alimpenda rafiki Yangu dem mmoja hivi namjua ni mapepe so nikawa nampotezea. Akaniahidi atabadirika kabisa kwasababu sikutaka jamaa Yangu achezewe kibwege kwa sababu ni mtu anaejielewa. Alichofanya manina zake
 
alifanyaje
Maslay Queen Pumbavu kabisa sitaki hata kuwasikia manina yani hii thread imenitibua Kinyama. Kama mwingine ni rafiki Yangu msouth ni chotara alimpenda rafiki Yangu dem mmoja hivi namjua ni mapepe so nikawa nampotezea. Akaniahidi atabadirika kabisa kwasababu sikutaka jamaa Yangu achezewe kibwege kwa sababu ni mtu anaejielewa. Alichofanya manina zake
 
Unataka kutuambia zamu ya wanaume kujipaka carolight imefika?

Sipati picha kama kila mrembo ataona kua na mzungu ndio fashion..
 
wazungu hawapendi watu wanene,ukimpata ataku bully na weight yako mkuu...baki na hawa hawa wabantu ukiwa mnene roho yake tulii lol,au ndio unawatafuta indirect humu?lol
 
Maslay Queen Pumbavu kabisa sitaki hata kuwasikia manina yani hii thread imenitibua Kinyama. Kama mwingine ni rafiki Yangu msouth ni chotara alimpenda rafiki Yangu dem mmoja hivi namjua ni mapepe so nikawa nampotezea. Akaniahidi atabadirika kabisa kwasababu sikutaka jamaa Yangu achezewe kibwege kwa sababu ni mtu anaejielewa. Alichofanya manina zake

Ni shida zaidi ya problem aisee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom