Kwa hapa TZ ni mafunzo yanapatikana ktk vyombo vya dola TISS,JWTZ na Polisi,hivyo sharti uwe mmoja wao kupata mafunzo hayo.
Kwa wenzetu kama USA hiyo ni field of study kama nyinginezo unaweza kusoma katika universities kadri ya uwezo wako
dont wes your precious time wapongo watakufundisha kuhesabu vizibo vya bia tu labda kidogo severence ya kikoloni na kupeleka umbeya, kabla gaddafi hajaondoka bengazi walikuwa wanatoa kozi , pia ulinzia southafriica jamaa wa boss, wana toa somo, babu kubwa jamaa wa mosad hawa ni jews,