mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,348
- 2,777
Karibu Chanika ninavyo vizuri sanaaWakuu habarini za muda huu
Kwa Dar es Sallam ni wapi naweza kupata kiwanja cha milioni 3?
Namaanisha kiwanja cha milioni moja,mbili hadi tatu mwisho iwe tatu maana ndo uwezo wangu
Kwa Dar napendelea maeneo yote isipokua tu maeneo ya kilwa Road
Kwa 3M au 2M au chini yake ni wapi naweza pata kiwanja?Umbali kutoka barabara kuu iwe kutembea hata kwa mguu isizidi dakika 20 au dakika 25
Pia naomba kujuwa kwa milioni 3 si naweza kupata walau kiwanja kikubwa cha size ya kati?Au vya 2M 2.5M au 3M mara nyingi huwa ni ukubwa gani kwa wajuzi wa humu?
Pia naombeni kujua ni taratibu gani za kufuata ili kumiliki kiwanja maana ndugu yenu nikiri kuwa mimi sijui procedure zozote za kumiliki kiwanja naogopa kupigwa sana, kutapeliwa pia naogopa kununua kiwanja chenye mgogoro jee nifate taratibu gani?
Natanguliza shukrani
No longolongo ni vyangu mwenyewe