ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,064
- 49,749
Nimeangalia Matokeo ya sensa nimeona Licha ya Kigamboni kuwa Dar ila Ina watu Wachache na wengi pia hawahamii tofauti na Mkuranga..
Sasa sijajua shida ni ipi ila nataka kuuliza,ni wapi Kati ya Mkuranga na Kigamboni naweza nunua kiwanja/viwanja Kwa Ajili ya kutunza kama asset Ili nije niuze baada ya miaka 10 kutanilipa zaidi?
Na bei za viwanja Wilaya hizo ikoje?
Sasa sijajua shida ni ipi ila nataka kuuliza,ni wapi Kati ya Mkuranga na Kigamboni naweza nunua kiwanja/viwanja Kwa Ajili ya kutunza kama asset Ili nije niuze baada ya miaka 10 kutanilipa zaidi?
Na bei za viwanja Wilaya hizo ikoje?