"nahiraji bei halisi sio ya mtandaoni", nchi ipo kwenye ubepari sasa hivi Kila kitu unachotaka lazima bei iongezeke kidogo ili mtoa connection apate chochote nae.
Upo wapi? Najua Dar wanauza 25,000 Kwa sado ila mie pamoja na kuweka cha juu nakufikishia Kwa 23,000 kama upo Dar ila kama unachukua sado 10