Clinton Manangwa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 214
- 225
Wakuu natafuta Power Bank Orginal ambayo naweza kuchaji simu hata mara tatu kwa asilimia 100.
Wakuu natafuta power bank orginal ambayo naweza kuchaji simu hata mara tatu kwa asilimia 100.
Upo mkoa gani mkuu.?
Binafsi naona kama pawa benki zime prove failure
Huko sio mwenyeji, asante.Nipo Geita mkuu
Duuuuh mazingira niliopo umeme shida
Ameuliza wapi anaweza kupata. Wewe unakuja na story za kuwa mwenyeji wa Geita, strange!!Huko sio mwenyeji, asante.
Mkuu mi nilizitumia enzi hizo hakuna sana simu za fast charge, ilikua ni ngumu sana kupata Power Bank ijaze smart phone mara 2
Labda kama una simu ya fast charge na kama power bank ina support nahisi inawezekana
agiza mm niliagiza mobile WiFihotsport na pia power bank mah 6600 mah
natumia huu mwaka wa tatu ni tangu 2019
na nguvu ipo vilevile nikitumia kama hotspots nachaji mara 1 nikitumia km powebank pekee nachaji mara 2
natumia Samsung S7 edge+ battery lenye battery 3600mah
So agiza kwa manufactures wa uhakika ya 10000mah utaenjoy
ila ujiandae bei inaweza fika hata laki 2 na ushee
View attachment 1995944View attachment 1995949
mkuu mimi nilimuagiza mtu directy kutoka china hicho kidude kilikuwa km dora 300 mtandaoni mana ndio vipya vilikuwa vinatokaOkay safi sana sasa hatua zikoje za kuagiza mkuu hadi Wi-Fi
mkuu mimi nilimuagiza mtu directy kutoka china hicho kidude kilikuwa km dora 300 mtandaoni mana ndio vipya vilikuwa vinatoka
yeye nilimpal dora 200
so wewe pitia EBAY na AMAZON utapata powerbank nzuri huko utaagiza ila ukotaka hicho kimobile wife hotsport bei juu
Kiongozi biashara ya kutembea na power bank ishakufa INFINIX mpango mzima
mimi natumia za oraimo ina Ahmp 27000 bei inaanzia elf 50 hadi 80
Oraimo huwa naona ads zao mtandaoni ila ajabu hawasemi ofisi ziko wapi au hata supplier wao wako wapimimi natumia za oraimo ina Ahmp 27000 bei inaanzia elf 50 hadi 80
Oraimo huwa naona ads zao mtandaoni ila ajabu hawasemi ofisi ziko wapi au hata supplier wao wako wapi
Mimi sikununua powerbank wala sina uhitaji nazo. Oraimo sijajua ubora wa bidhaa zao ila najua unazidi wa Tecno na Infinix ingawa zina parent company moja.Okay ngoja niwasake mkuu kwani ww ulinunua wapi na matumizi yake yako pouwa?