Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 312
Jamani nipo Dar, nauliza mwenye kujua sehemu ambapo ninaweza kupata spares za simu aina ya TEENO R5(smartphone), nimezunguka Kariakoo sehemu kubwa sijapata. Natanguliza shukurani za dhati.
Yeah bro!TEENO?
Eeeh aise hiyo simu ushawah kumuonanayo mtu mwingine zaidi yako we mwenyewe?Yeah bro!
Jamani nipo Dar, nauliza mwenye kujua sehemu ambapo ninaweza kupata spares za simu aina ya TEENO R5(smartphone), nimezunguka Kariakoo sehemu kubwa sijapata. Natanguliza shukurani za dhati.
unabishana na mwenye simuNi TECNO R5.
TEENONi TECNO R5.
Sure bro? Ni kweli koz zinafanana. Naweza pata spare zake kaka?Sasa hiyo itakuwa ndio Copy ya Tecno R5