Wapi ninaweza kupata Black seed oil?

Wapi ninaweza kupata Black seed oil?

gasgas

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
1,098
Reaction score
994
Habarini za usiku.
Poleni kwa mizunguko ya hapa na pale.
Nina ombi moja.
Kwa anayefahamu, naomba kujua wapi nnaweza kupata black seed oil original, isiyochakachuliwa. Ikiwezekana naomba pia kufahamu bei yake.

Asante na jioni njema
 
Zinapatikana kariakoo katika maduka ya dawa za asili, bei ni kuanzia elfu tatu kwa kichupa kidogo.
 
Na baadhi ya maeneo inarange saba elfu hadi kumi.
 
Back
Top Bottom