Nenda Sido.Habari wan JF Natumai ni wazima,
Nilikua nahitaji mashine ya kukamulia juice ya umeme je naweza kupata wapi na kwa bei gani.
Naomba kwa mwenye kufahamu pia mwenye kujua connection ya miwa inakuwa naomba kufahamu.🙏
juice ya umeme,unakunywaje!!!?mashine ya kukamulia juice ya umeme je naweza kupata wapi na kwa bei gani.
Jifunze kanuni za uandishi, unapoanza sentensi unaanza na capital letter.juice ya umeme,unakunywaje!!!?
Jinga lingine hili hapa.Siku hizi umeme unatoa juice? Naomba ukikamua hiyo juice niione aisee.
🤣🤣🤣 na mimi nimejiuliza hii kitujuice ya umeme,unakunywaje!!!?
Kumbe siyo kosa lako, ni shule pia hakuna hapo.Jinga lingin hili apa 😁
Jinga ni lile ambalo halijui hata kiswahili.Jinga lingine hili hapa.
Hizo zipo aina tofaut kuna za kichina utazipata K/Koo Kwenye Maduka halaf Kuna hizo za sido pia kariakoo utazipata pale gerezan kuna za jenereta na Umeme na ni ile barabara ambayo wanashukia na kupandia magari ya kisemvule (nilipoenda me ilikuwa stand ya gerezanu haitumiki sijui now) kuna vijna weng wamejipanga wanauza juic nyuma yao kuna jamaa wanazalisha hizo mashine ukifika tu utawaona.Nipo kisemvule pwani