Wapi Niagize Mizigo Online Tofauti Na China

Wapi Niagize Mizigo Online Tofauti Na China

Hawa sellers wa AliExpress waliniambia kwamba wanaendelea kuship mizigo sasa nashindwa kujua kwamba je, mizigo hiyo inaruhusiwa kuingia TZ kwa sasa? Wajuzi karibu tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa sellers wa AliExpress waliniambia kwamba wanaendelea kuship mizigo sasa nashindwa kujua kwamba je, mizigo hiyo inaruhusiwa kuingia TZ kwa sasa? Wajuzi karibu tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa uelewa wangu hivyo virusi vikitoka huko mpaka huku vimeshakufa. Unless vitatumia njia express kama Dhl.

Kinachofanya bidhaa ziwe za tabu ni nguvukazi, watu wapo kwenye lockdown, viwanda na makampuni mengi hayafanyi kazi na uzalishaji umekuwa mdogo.

Hivyo kama bidhaa anayo uwezekano wa kutuma upo.
 
Kuna mzigo nilikua naagiza aliexpress ni 1$@pc nilivyo opt amazoni nilikuta bidhaa ile ile amazon ni 25$ ndio nkajua china ndio ndugu yetu waafrika wa kusini mwa jangwa pendwa
Mim amazon sijawahi na sidhani
Unachosema mkuu ni sahihi awa majamaa bidhaa zao zipo juu sana na hapo bado gharama ya usafiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je Aliexpress ndio Alibaba? Je ina mawakala wa kutosha Tz? Me nimenunua vitu vingi kupitia Kikuu ipo vzr sn, ila ni za huko huko China

Sent using Jamii Forums mobile app
Kikukuu pia wapo vizuri japo hawana bidhaa za kutosha,hapa namaanisha kuna baadhi ya bidhaa ni lazima uingie masoko mengine makubwa kama alia na mengine.
Lakini wapo vizuri hata bei zao azina utofauti sana na alia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa uelewa wangu hivyo virusi vikitoka huko mpaka huku vimeshakufa. Unless vitatumia njia express kama Dhl.

Kinachofanya bidhaa ziwe za tabu ni nguvukazi, watu wapo kwenye lockdown, viwanda na makampuni mengi hayafanyi kazi na uzalishaji umekuwa mdogo.

Hivyo kama bidhaa anayo uwezekano wa kutuma upo.
Umenitoa wasiwasi hata mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa uelewa wangu hivyo virusi vikitoka huko mpaka huku vimeshakufa. Unless vitatumia njia express kama Dhl.

Kinachofanya bidhaa ziwe za tabu ni nguvukazi, watu wapo kwenye lockdown, viwanda na makampuni mengi hayafanyi kazi na uzalishaji umekuwa mdogo.

Hivyo kama bidhaa anayo uwezekano wa kutuma upo.
Nilichohofia ni kuzuiwa kuingia na kama hawazuii basi haina shida inabidi niingie tena ulingoni maana toka December mwaka jana niko nje ya ulingo. Ila Mungu anisaidie mzigo unikute hai maana corona duh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa sellers wa AliExpress waliniambia kwamba wanaendelea kuship mizigo sasa nashindwa kujua kwamba je, mizigo hiyo inaruhusiwa kuingia TZ kwa sasa? Wajuzi karibu tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi niliagiza simu mbili na memory card ya 16 gb kutoka Ali express tar 17 ya mwez wa pili mwaka huu wakat huo corona imeshamiri kweli, ila baada ya kulipia nikapokea mesag there is delay of shipping due to epidemic of corona nilikata moto simu azikua zangu nikaona hapa ntaonekana tapeli na mwiz Wa kutupwa ila ndio nshalipia basi na sina uhakika kama mpesa Master card inapokea pesa zaidi ya kutuma tu ila nashukuru tarehe 24 mwez Wa 3 juzi nimezipokea pamoja na memory card kabla ya hapo nil
IMG_20200329_161735_295.JPG
ipata email ndan ya wiki kua mzigo umeingia nikaona uongo sikupokea mesag ya Posta ya mkoan kwangu ila tareh 24 nilipata mesag kutoka Posta na simu nikazipata clearly.
 
Binafsi niliagiza simu mbili na memory card ya 16 gb kutoka Ali express tar 17 ya mwez wa pili mwaka huu wakat huo corona imeshamiri kweli, ila baada ya kulipia nikapokea mesag there is delay of shipping due to epidemic of corona nilikata moto simu azikua zangu nikaona hapa ntaonekana tapeli na mwiz Wa kutupwa ila ndio nshalipia basi na sina uhakika kama mpesa Master card inapokea pesa zaidi ya kutuma tu ila nashukuru tarehe 24 mwez Wa 3 juzi nimezipokea pamoja na memory card kabla ya hapo nilView attachment 1403137ipata email ndan ya wiki kua mzigo umeingia nikaona uongo sikupokea mesag ya Posta ya mkoan kwangu ila tareh 24 nilipata mesag kutoka Posta na simu nikazipata clearly.
Mkuu uliagazaje maana na mm napenda sasa Luna vitu niliona kwenye matangazo yao ya aliexpress ,, kuna vitu nataka niagaze , nitashukuru sana ukinapa maelekezo hata ukinipm yote sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi niliagiza simu mbili na memory card ya 16 gb kutoka Ali express tar 17 ya mwez wa pili mwaka huu wakat huo corona imeshamiri kweli, ila baada ya kulipia nikapokea mesag there is delay of shipping due to epidemic of corona nilikata moto simu azikua zangu nikaona hapa ntaonekana tapeli na mwiz Wa kutupwa ila ndio nshalipia basi na sina uhakika kama mpesa Master card inapokea pesa zaidi ya kutuma tu ila nashukuru tarehe 24 mwez Wa 3 juzi nimezipokea pamoja na memory card kabla ya hapo nilView attachment 1403137ipata email ndan ya wiki kua mzigo umeingia nikaona uongo sikupokea mesag ya Posta ya mkoan kwangu ila tareh 24 nilipata mesag kutoka Posta na simu nikazipata clearly.
Mpesa Mastercard inalipia na kupokea hela wanapokuwa wamekurefund. Mimi nimefanya hivyo mara kadhaa ila wakinirefund na baadaye mzigo ukafika kwa kuchelewa zaidi ya muda uliowekwa huwa namtafuta seller namwuliza nimlipe kwa njia gani maana order yangu tayari imefika, basi akiniambia namlipa, hasa huwa wanasema nifanye order kama ileile kisha niConfirm kuwa nimepokea mzigo na hapo hulipwa na system za AliExp. Ila hasara unayoipata hapo ni ya kufanya muamala x2. Kufanya hivyo kunawajengea imani ili waendelee kuship mizigo kuja TZ na pia usipowalipa ujue wewe ni mwizi na mdhulumaji kama waovu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpesa Mastercard inalipia na kupokea hela wanapokuwa wamekurefund. Mimi nimefanya hivyo mara kadhaa ila wakinirefund na baadaye mzigo ukafika kwa kuchelewa zaidi ya muda uliowekwa huwa namtafuta seller namwuliza nimlipe kwa njia gani maana order yangu tayari imefika, basi akiniambia namlipa, hasa huwa wanasema nifanye order kama ileile kisha niConfirm kuwa nimepokea mzigo na hapo hulipwa na system za AliExp. Ila hasara unayoipata hapo ni ya kufanya muamala x2. Kufanya hivyo kunawajengea imani ili waendelee kuship mizigo kuja TZ na pia usipowalipa ujue wewe ni mwizi na mdhulumaji kama waovu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimeelewa
 
Mkuu uliagazaje maana na mm napenda sasa Luna vitu niliona kwenye matangazo yao ya aliexpress ,, kuna vitu nataka niagaze , nitashukuru sana ukinapa maelekezo hata ukinipm yote sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Download app ya Ali express kutoka play store kisha jisajili jina lako ambalo lipo kwenye kitambulisho chako
Screenshot_2020-03-29-22-58-56.jpg
s
Screenshot_2020-03-29-22-55-14.jpg
Screenshot_2020-03-29-22-58-56.jpg
chochote namba ya simu yako mkoa uliopo ikiwezekana na wilaya mfano kwenye izo screen short hapo vipi ? Mzee
 
Back
Top Bottom