Wapi Niagize Mizigo Online Tofauti Na China

Wapi Niagize Mizigo Online Tofauti Na China

SuperImpressor

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
1,505
Reaction score
649
Kama mnavyojua tulikuwa tumezoea kuagiza mizigo kutoka China kupitia AliExpress lakini kutokana na Coronavirus kuathiri China kwa kiasi kikubwa na hivyo kuathiri safari za ndege kutoka huko, sasa tutumie njia gani tena kuagiza vitu kwa bei nzuri kutoka nje au ni wapi twaweza kuagiza tofauti na China?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mzigo nilikua naagiza aliexpress ni 1$@pc nilivyo opt amazoni nilikuta bidhaa ile ile amazon ni 25$ ndio nkajua china ndio ndugu yetu waafrika wa kusini mwa jangwa pendwa
Inategemea na bidhaa kitu cha china kitakuwa rahisi china na kitu cha usa ni rahisi Usa, kuna watu wananunua vitu aliexpress na kwenda kuviuza amazon, wengine wananunua amazon na kuuza Aliexpress.
 
Kama mnavyojua tulikuwa tumezoea kuagiza mizigo kutoka China kupitia AliExpress lakini kutokana na Coronavirus kuathiri China kwa kiasi kikubwa na hivyo kuathiri safari za ndege kutoka huko, sasa tutumie njia gani tena kuagiza vitu kwa bei nzuri kutoka nje au ni wapi twaweza kuagiza tofauti na China?

Sent using Jamii Forums mobile app

Unahitaji nini nikuchukulie amazon?
 
Inategemea na bidhaa kitu cha china kitakuwa rahisi china na kitu cha usa ni rahisi Usa, kuna watu wananunua vitu aliexpress na kwenda kuviuza amazon, wengine wananunua amazon na kuuza Aliexpress.
USA vitu kweli ni rahisi sana ila shida ni kwenye shipping. Hata kule AE nawaonaga vitu ni chee ila hawaship kuja huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA vitu kweli ni rahisi sana ila shida ni kwenye shipping. Hata kule AE nawaonaga vitu ni chee ila hawaship kuja huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
UAE sio? dubai huko, wala sio mbali sana sema tu hakuna shipping ya maana kuja huku. unaweza tumia ship and shop ya aramex sema sio reliable kivile. ni kama $15 kwa nusu kilo.
 
Back
Top Bottom