Wapi naweza napata original boot za Salomon?

Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
Mtaa wa Kipata umeenda?
 
Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
 

Attachments

  • Screenshot_20240905-114133_Chrome.jpg
    210.2 KB · Views: 43
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…