Wakuu habari ,
Nahitaji ushauri ninataka kuanzisha biashara ya pombe kali na pombe laini lakini za kuimport kama brutal, mliotembea ni pombe ipi nikiileta Tanzania naweza kupata faida na kukuza biashara ?
Je naweza kupata nafasi ya kuingiza brutal ilihali kuna mtu mwingine anaingiza? Au bidhaa ikishakuwa na agent hakuna mwingine anayeruhusiwa.
Nahitaji ushauri ninataka kuanzisha biashara ya pombe kali na pombe laini lakini za kuimport kama brutal, mliotembea ni pombe ipi nikiileta Tanzania naweza kupata faida na kukuza biashara ?
Je naweza kupata nafasi ya kuingiza brutal ilihali kuna mtu mwingine anaingiza? Au bidhaa ikishakuwa na agent hakuna mwingine anayeruhusiwa.