Wapi naweza kupata simcard za Uwakala M-pesa/Tigopesa

Wapi naweza kupata simcard za Uwakala M-pesa/Tigopesa

Mpesa mtaji wao ni laki 5 ambayo unawekewa katika cm yako ya uwakala. Tigo pesa mtaji wao ni 1milion kama mtaji na mnasaini mkataba pia na airtel money ni laki 3 kama mtaji pia. changamkia fursa mpendwa.
Kuwa makini sana na laini za mtaani ukipata matatizo ndo utajua vema uzito wake.
 
Mpesa mtaji wao ni laki 5 ambayo unawekewa katika cm yako ya uwakala. Tigo pesa mtaji wao ni 1milion kama mtaji na mnasaini mkataba pia na airtel money ni laki 3 kama mtaji pia. changamkia fursa mpendwa.
Hio mitaji ni kwa pesa yangu au yao
 
Habari wapendwa;
Kwa yeyote anaefahamu namna gani naweza kupata Line za uwakala za Tigopesa/Mpesa(process)
-Namna ya kufatilia
-Garama za kununua
-zinapatikana wapi

Naomba anifahamishe
(sio za watu wanaoziuza mitaani lakini, nataka OG kusajili kwa Majina ya muhusika)

Ahsanteni
dada kwa mujibu wa sheria ukiwa na TILL NUMBER na RESEN YA BIASHARA line za uwakala ni bure fata vigezo ni kwa mitandao yoooote
 
Wakuu nina salio la Tigo nilinunua kimakosa kutoka Crdb kiasi cha shilingi 200,000.

Naomba kama kuna wakala aliye serious anayeuza tigo rusha tufanye biashara nataka anipe 120000 tu kwa 200000 hiym
 
Wakuu nina salio la Tigo nilinunua kimakosa kutoka Crdb kiasi cha shilingi 200,000.

Naomba kama kuna wakala aliye serious anayeuza tigo rusha tufanye biashara nataka anipe 120000 tu kwa 200000 hiym
wananunuaga kwa Tigopesa mkuu.

hio ifanye sadaka tu[emoji12][emoji12]tutumie nduguzako
 
Habari wapendwa;
Kwa yeyote anaefahamu namna gani naweza kupata Line za uwakala za Tigopesa/Mpesa(process)
-Namna ya kufatilia
-Garama za kununua
-zinapatikana wapi

Naomba anifahamishe
(sio za watu wanaoziuza mitaani lakini, nataka OG kusajili kwa Majina ya muhusika)

Ahsanteni
Naweza kukuunganisha na mtu
Ni mpya unasajili jina lako
 
Anaetaka laini ya wakala mtandao wowte ule nitafte na pia Anaetaka laini nzuri yaani Spesho namba pia Anaetaka laini yake ya Tigo iwe ya chuo pia Nabadilisha Dk2 inakuwa Tayar nitafte kwa namba hii 0659202222 Au Tuma Sms nitakujibu
 
Anaetaka laini ya wakala mtandao wowte ule nitafte na pia Anaetaka laini nzuri yaani Spesho namba pia Anaetaka laini yake ya Tigo iwe ya chuo pia Nabadilisha Dk2 inakuwa Tayar nitafte kwa namba hii 0659202222 Au Tuma Sms nitakujibu
 
Back
Top Bottom