Mtafute Rasi SimbaHabari zenu wadau! Naomba kuuliza ni wap kwa hapa Tanzania naweza kujifunza Lugha ya kiingereza na nikaelewa vizuri kukizungumza kwa ufasaha? Na bei zao zikoje na ni kwa muda gani naweza kujifunza na kuelewa? Msaada tafadhar
Namsikia tu sijui nampata wap na gharama zake zikojeMtafute Rasi Simba
Yuko DarNamsikia tu sijui nampata wap na gharama zake zikoje
Unaweza kufahamu gharam zake unisaidie mkuuras simba=0654 400 400, usipoelewa unarudishiwa ADA
Huwa nasikia matangazo yake ni approximately 200,000-300,000Unaweza kufahamu gharam zake unisaidie mkuu
Bingwa wa kufundisha kingereza na formula zake za ajabu za A+D..... alizojifunzia Marekani na Ulaya.....lilisikika tangazo kutoka kituo cha redio fulani.Mtafute Rasi Simba
Nenda British ila ujipange coz bei zao zimechangamka sanaHabari zenu wadau! Naomba kuuliza ni wap kwa hapa Tanzania naweza kujifunza Lugha ya kiingereza na nikaelewa vizuri kukizungumza kwa ufasaha? Na bei zao zikoje na ni kwa muda gani naweza kujifunza na kuelewa? Msaada tafadhar
Habari zenu wadau! Naomba kuuliza ni wap kwa hapa Tanzania naweza kujifunza Lugha ya kiingereza na nikaelewa vizuri kukizungumza kwa ufasaha? Na bei zao zikoje na ni kwa muda gani naweza kujifunza na kuelewa? Msaada tafadhar
Asante kwa msaada wakoHuwa nasikia matangazo yake ni approximately 200,000-300,000
Asante mnoIngia YouTube kuna courses nyingi sana ambazo unaona na kuyasikia matamshi. Ukitulizana na kuwa makini utafahamu vizuri sana kwa muda mfupi sana.
Usipomuelewa inabidi ufe ukazaliwe kwa malkia uingereza ndio labda itajua kizungu.ras simba=0654 400 400, usipoelewa unarudishiwa ADA