Dah mkuu umenifanya nicheke kwa nguvuUmepewa pesa ukalipe ada chuo unakuja kutuulizia raba Kali, ikifika kipindi cha mitihani mnakuja na ID nyingine kuomba msaada wa ada ili mfanye mitihani
Raba gani?agiza mtoni utaletewa gharama ni pamoja na postage.wazee nahtaj raba zilizosimama, ORIGINAL hasa nyeupe DUKANI, nimezunguka ila sipat options za kutosha unakuta duka lina raba chache nying n moka, zikiwa nying n mafamba
Kwaio anunue kiatu cha $150-200 halafu atembee kwenye vumbi hili hili la Dar?Raba gani?agiza mtoni utaletewa gharama ni pamoja na postage.
Airfoce one inasimama dola 150+,air max 200usd.
Tuanzie hapo.
Unaweza pm.
Hizi akikuona mtu wa dar atajua hiyo kifaa sio ya guangzhou.
Ndio ajiongeze achukue hata vitz,mchina kawaharibu bora mbaki nae.Kwaio anunue kiatu cha $150-200 halafu atembee kwenye vumbi hili hili la Dar?
Wivu Huo Mzee, unataka upendeze mwenyewe tu!?Ndio ajiongeze achukue hata vitz,mchina kawaharibu bora mbaki nae.
Huwa nachoka kabisa niko bongo na sneaker kali ya dola 250,anaingia mtu nayo km hiyo ukimuuliza bei 30elfu.🤔
Wool worth ipo mitaa gani Mzee baba?Nenda Wool Worth hutajutia .. Sema ujipange.
Kama umewahi Fanya shopping hapo, vip Alexander marques wanaweza wakawa nazo mkuu?Posta mpya jengo la PPF Tower ...mkuu
Ndio ajiongeze achukue hata vitz,mchina kawaharibu bora mbaki nae.
Huwa nachoka kabisa niko bongo na sneaker kali ya dola 250,anaingia mtu nayo km hiyo ukimuuliza bei 30elfu.![]()
Sema wanagundua tofauti utasikia bro nikuvue laki unusu, aah sometyme unachukua unapiga monde.Bongo ni nyoso
Sema wanagundua tofauti utasikia bro nikuvue laki unusu, aah sometyme unachukua unapiga monde.
Maana akiipata ile mkataba.