Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Naombeni mwenye kujua wapi napata hizi lori hasa zinazotembea usiku kutoka Dar-Bariadi mjini na Arusha-Bariadi mjini.
Lakini Pia zinazotoka Huko Bariadi kwenda Dar au Arusha nazipata wapi?..
Kuna mizigo nakua nasafirisha, Mabasi ni changamoto, mara ufike stand wakuambie hamna nafasi ya kutosha, mara Mzani utasumbua, lakini pia cost ipo juu sanaa,
Lakini vile vile mwenye kujua Costa za usiku kuelekea na kutoka maeneo hayo (kama zile za Dar - Moshi, Dar - Mbeya) kama zipo anisaidie..
Natanguliza shukrani.
Lakini Pia zinazotoka Huko Bariadi kwenda Dar au Arusha nazipata wapi?..
Kuna mizigo nakua nasafirisha, Mabasi ni changamoto, mara ufike stand wakuambie hamna nafasi ya kutosha, mara Mzani utasumbua, lakini pia cost ipo juu sanaa,
Lakini vile vile mwenye kujua Costa za usiku kuelekea na kutoka maeneo hayo (kama zile za Dar - Moshi, Dar - Mbeya) kama zipo anisaidie..
Natanguliza shukrani.