Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,941
hizo airforce zinakuwa tofauti na hizi airforce za vunja bei za sh.35000?Raba gani?agiza mtoni utaletewa gharama ni pamoja na postage.
Airfoce one inasimama dola 150+,air max 200usd.
Tuanzie hapo.
Unaweza pm.
Hizi akikuona mtu wa dar atajua hiyo kifaa sio ya guangzhou.