Bro nimepata tu mbegu na kulima hivo sijaweza kuchanganua ni aina ganNi habat souda au....?
Bro nimepata tu mbegu na kulima hivo sijaweza kuchanganua ni aina gan
Chia ndiyo nini?Habari zenu wadau natafta soko la mbegu za chia na bei zake, mwenye kujua wanaponunua kwa bei ya Jumla,mimi nipo Dar,asanteni
Ni habat souda au....?
Hapana Chia seeds si habat souda ni (black seed) ingawa ukiziangalia uanaona zinafanana ila ni tofauti, Chia seeds ikiweka kwenye maji zinafimba mkuu hadi hata mara kumi zaidi,
Sawa kwa kiswahili zinaitwaje mkuu...?
Ntakucheki mkuu mie ninazo zimeandaliwa vizuri sana,0712377929Nahitaji chia seed kwa wale wanaofanya free delivary nipo dar Boko 0625531458 nichek tufanye biashara