Ndugu wanabodi, kamera yangu digital aina ya Sony imedondoka, lens ikiwa imefunguka katika standby mode. Inagoma kurudisha lens ndani kwa kuwa imepinda. Kwa anayejua fundi mzuri na mwaminifu wa kamera kwa Dar naomba anijulishe. Please help!
nadhani tatizo ni zoomu, hata mim lishanitokea, ipo very delicate, ukibahatika kupata fundi akairepea ni bahati, ila hapo inabidi ununue nyingine (zoom) ambapo sio chini ya 50-60,000/= mtaa wa uhuru kariakoo nyuma ya maduka ya simu wapo mafundi wa kamera.